Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,032
Tumtafute Mtanzania maskini kuliko wote tumchangie elfu mmoja mmoja, angalau tumnunulie jembe na mbegu aweze kujiondoa kwenye umaskini huwo maisha... vile vile ingekua sio mbaya tukampatia elfu tano kila mwezi hadi hapo atakapo weza kujitegemea...
Pundamilia!!!
Naona wazi kuwa hujamwelewa Ndesamburo na pia una jukumu la kumpinga.
Please read between the lines to see reality
Mbona Lowassa sijaona jina lake popote pale? Kati ya Lowassa na Chenge nani ana vijisenti zaidi?
Tumtafute Mtanzania maskini kuliko wote tumchangie elfu mmoja mmoja, angalau tumnunulie jembe na mbegu aweze kujiondoa kwenye umaskini huwo maisha... vile vile ingekua sio mbaya tukampatia elfu tano kila mwezi hadi hapo atakapo weza kujitegemea...