Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Endelea kubwabwaja bw.mdogo.Nilikuwa nataka ushahidi kama wa watoto wa tz wakila kinyesi cha funzaWe manzi dawa yako ni mimba basi
Swala la supu ya funza niliona kwenye kitabu tena muandishi wake ni mkenya na akisema ni pande za kibera
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Funza ana kinyesi ambacho mtu anaweza akala?Endelea kubwabwaja bw.mdogo.Nilikuwa nataka ushahidi kama wa watoto wa tz wakila kinyesi cha funza
Acha kusema umesahau sema hakipo. Halafu umewahi gundua kwamba hawa watoto wa kibera wana afya kuliko watoto wote wa kitanzania? Yaani utapiamlo huko tz ndio unatawalaFunza ana kinyesi ambacho mtu anaweza akala?
Ushahidi jina la kitabu nimekisahau nikikumbuka nitakuambia
All in all Tz vs Kenya wote kenge tu
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Acha kusema umesahau sema hakipo. Halafu umewahi gundua kwamba hawa watoto wa kibera wana afya kuliko watoto wote wa kitanzania? Yaani utapiamlo huko tz ndio unatawala
Unaongea unauhakika tunatumia ndege za F5?Kwaiyo unataka kuzifananisha F-5 na sukhoi su?
Sukhoi zinaonesha uwezo Syria
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Hukufundishwa sayansi shuleni au unajitoa ufahamu tu dadangu?Utapiamlo ndio nini bro?
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Nimeona mnatumia F-35 aise hongereniUnaongea unauhakika tunatumia ndege za F5?
Fanya research kwanza usikurupuke
Sent using Jamii Forums mobile app
Hukufundishwa sayansi shuleni au unajitoa ufahamu tu dadangu?
Hamkusoma food and nutrition. You're a joke.Skuli niliyosomea hatusomi hayo bt hebu fanya ubadirishe ID
Sent using my iPhone using jamiiforum app
Miss kibera hilo povu lako sasa baada ya kutajwa kibera!Eti supu ya funza? [emoji46]hebu lete ushahidi naona umeambukiwa ushenzi na wabongolala.
We mbn unahangaika hvyo?? Kwan unafeli wap? Nan asiejua kuwa kdf hawana ndege nyingne tofaut na f5 za jordanUnaongea unauhakika tunatumia ndege za F5?
Fanya research kwanza usikurupuke
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha utani basi Tanzania chakula mbona ni kingi saana kama hapa kigoma jero ni mikungu mitatu ya ndiziHamkusoma food and nutrition. You're a joke.
Utapiamlo ni malnutrition.Tanzania hawajitoshelezi kwa chakula & that's why children lack adequate nourishment. Malnutrition si mchezo wewe binti. It weakens the immune system ya mtoto and they become vulnerable to diseases. The diseases can further malnutrition leading to a vicious cycle. Yaani malnutrition, disease, malnutrition worsens... No wonder child mortality rate is higher there than Rwanda and Uganda.
Usibishane nae kdf wana F-35We mbn unahangaika hvyo?? Kwan unafeli wap? Nan asiejua kuwa kdf hawana ndege nyingne tofaut na f5 za jordan
Sent using Jamii Forums mobile app