Tanzania ukitajirika haraka haraka omba Mungu usipate msiba wa ndugu wa karibu

Tanzania ukitajirika haraka haraka omba Mungu usipate msiba wa ndugu wa karibu

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ukiona pesa zimekutembelea fasta waombee ndugu zako wa karibu waishi naisha marefu.

Kwa mfano Chief Goodlove leo hii afiwe na mzazi imekula kwake,au yule msanii wenu wa tandale akafiwana mama yake imekula kwake.

Hili ni tatizo la Afrika nzima hata akina P Square yaliwakuta baada ya mama yai kufariki.

Hiyo ni kwa watu wakubwa ila hata wewe mwenye duka la mangi biashara imikua ghafla ukahamia kariakoo ombea ndugu zako waishi miaka mingi utakuja kunishukuru.
 
Mwaka flan nilifanya jambo la maendeleo kijijini, aieee ile namalizia tu ujenzi mama Mdogo wkafa.

Aieeee Acha tu ni Kitu cha miaka mitano iliyopita Ila mpaka leo moyo wangu unauma nikikumbuka kile kisanga.
 
Jamaa yangu mmoja tulikua tunatembea wote kwa miguu akaona Range Rover sport moja kali sana akaanza kuniambia kuwa hao jamaa nyumbani huwa hawalalii kwenye vitanda na wanafuga nyoka nyumbani kwao
 
Mwaka flan nilifanya jambo la maendeleo kijijini, aieee ile namalizia tu ujenzi mama Mdogo wkafa.

Aieeee Acha tu ni Kitu cha miaka mitano iliyopita Ila mpaka leo moyo wangu unauma nikikumbuka kile kisanga.
Akili zetu za kiafrika,pole sana
 
Ukiona pesa zimekutembelea fasta waombee ndugu zako wa karibu waishi naisha marefu.

Kwa mfano chief Goodlove leo hii afiwe na mzazi imekula kwake,au yule msanii wenu wa tandale akafiwana mama yake imekula kwake.

Hili ni tatizo la Africa nzima hata akina P square yaliwakuta baada ya mama yai kufariki

Hiyo ni kwa watu wakubwa ila hata wewe mwenye duka la mangi biashara imikua ghafla ukahamia kariakoo ombea ndugu zako waishi miaka mingi utakuja kunishukuru
Tajiri uko wapi....😹
 
Afrika ukishika nyingi umekaribisha maadui, kila shida ikitokea wanaanza kuuliza flani ametoa kiasi Gani😂😂😂 yaani ndo unakua benchmark ya ndugu wote kwenye ukoo, sasa usiombe siku tatizo limetoke alafu huna kitu ndo utajua hujui mbaya zaidi ufilisike utasikia "KIKO WAPI" 😂😂😂 Kifupi kuwa tajiri Afrika ni mzigo wa miba
 
Ukiona pesa zimekutembelea fasta waombee ndugu zako wa karibu waishi naisha marefu.

Kwa mfano chief Goodlove leo hii afiwe na mzazi imekula kwake,au yule msanii wenu wa tandale akafiwana mama yake imekula kwake.

Hili ni tatizo la Africa nzima hata akina P square yaliwakuta baada ya mama yai kufariki

Hiyo ni kwa watu wakubwa ila hata wewe mwenye duka la mangi biashara imikua ghafla ukahamia kariakoo ombea ndugu zako waishi miaka mingi utakuja kunishukuru
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.

Allah mwenyez Mungu mwingi wa rehma ampe qaul thabeet kipenzi chetu Imam.
 
Back
Top Bottom