Alie sema ungemwambia ukifa na wewe ntaiba na yako ... Kisha nita chukua na Marathi yako.Hahaha noma sana! Niliwahi nunua kitu cha thamani immediately baada ya msiba, nikaambiwa nimeiba rambirambi! Mbaya mi ndo nilikua mkusanyaji
Mambo ya ndugu si unajua tena unaenda nao tu sawaAlie sema ungemwambia ukifa na wewe ntaiba na yako ... Kisha nita chukua na Marathi yako.
Dawa ya kichaa kichaa mwenzake,Mambo ya ndugu si unajua tena unaenda nao tu sawa
πJamaa yangu mmoja tulikua tunatembea wote kwa miguu akaona Range Rover sport moja kali sana akaanza kuniambia kuwa hao jamaa nyumbani kwao huwa hawalalii kwenye vitanda na anafuga nyoka nyumbani kwake
Akili zetu za kiafrika,pole sanaMwaka flan nilifanya jambo la maendeleo kijijini, aieee ile namalizia tu ujenzi mama Mdogo wkafa.
Aieeee Acha tu ni Kitu cha miaka mitano iliyopita Ila mpaka leo moyo wangu unauma nikikumbuka kile kisanga.
Tajiri uko wapi....πΉUkiona pesa zimekutembelea fasta waombee ndugu zako wa karibu waishi naisha marefu.
Kwa mfano chief Goodlove leo hii afiwe na mzazi imekula kwake,au yule msanii wenu wa tandale akafiwana mama yake imekula kwake.
Hili ni tatizo la Africa nzima hata akina P square yaliwakuta baada ya mama yai kufariki
Hiyo ni kwa watu wakubwa ila hata wewe mwenye duka la mangi biashara imikua ghafla ukahamia kariakoo ombea ndugu zako waishi miaka mingi utakuja kunishukuru
NakupigiaNipo tajiri wangu,karibu kinyerezi
Kipenzi chetu Imam Hussein aliuwawa kikatili sana Karbala ili kulinda na kuutetea uislamu. Nasi Allah katupa Tawfiq. Lakini cha kuhuzunisha Sunni hawamuenzi Imam wetu wanamdhihaki kumtukana nakutudhihaki.Ukiona pesa zimekutembelea fasta waombee ndugu zako wa karibu waishi naisha marefu.
Kwa mfano chief Goodlove leo hii afiwe na mzazi imekula kwake,au yule msanii wenu wa tandale akafiwana mama yake imekula kwake.
Hili ni tatizo la Africa nzima hata akina P square yaliwakuta baada ya mama yai kufariki
Hiyo ni kwa watu wakubwa ila hata wewe mwenye duka la mangi biashara imikua ghafla ukahamia kariakoo ombea ndugu zako waishi miaka mingi utakuja kunishukuru