Tunafungua nchiNchi inafunguliwa
Hivi mnafahamu unaweza kutoka kenya, Rwanda, India, Afghanstan yaani siku unaingia Tanzania ukafika, ukatafuta dalali, ukanunua kiwanja, ukajenga kama ni nyumba ya kuishi, ya kupangisha au hata hotel na usiulizwe na yoyote tena usifuate utaratibu wowote ule tena ukioa mtanzania ndio kabisa huulizwi na yeyote ukitaka kuyafahamu haya nenda kigamboni, mwanza, Geita, Karagwe, Mbeya, Sumbawanga na katavi yaani nchi imefunguliwa sio mchezo.
Moja ya comment mbovu kuwahi kutokea,yaan wageni wamiliki ardhi kirahisi hvyo nyie wazawa mtamiliki lini,vp kuhusu vizazi vijavyo kuhusu wao kumiliki ardhi?Dunia ni mali ya Mungu na vyote vilivyomo wanadamu kwa ubinafsi wao wa kutaka nguvu ya utawala walijikuta wanawekeana mipaka wao kwa wao na masharti magumu ya kuvuka mipaka hivyo mkuu ardhi sio yako pekee yako niya watu wote.
Usha jiuliza kwanini mgeni aje atawale nyumba yako na wewe upo shida hapo ni mgeni au wewe mwenyewe nyumba?Moja ya comment mbovu kuwahi kutokea,yaan wageni wamiliki ardhi kirahisi hvyo nyie wazawa mtamiliki lini,vp kuhusu vizazi vijavyo kuhusu wao kumiliki ardhi?
Sheria ziko wazi, unaweza pata hasara kwa dakika 0. Nchi zote dunian zina sheria zake, u napojifanya kipofu waweza poteza kila kitu, ignorance of law has no excuse.Nchi inafunguliwa
Hivi mnafahamu unaweza kutoka Kenya, Rwanda, India, Afghanstan yaani siku unaingia Tanzania ukafika, ukatafuta dalali, ukanunua kiwanja, ukajenga kama ni nyumba ya kuishi, ya kupangisha au hata hotel na usiulizwe na yoyote tena usifuate utaratibu wowote ule tena ukioa Mtanzania ndio kabisa huulizwi na yeyote ukitaka kuyafahamu haya nenda Kigamboni, Mwanza, Geita, Karagwe, Mbeya, Sumbawanga na Katavi yaani nchi imefunguliwa sio mchezo.
Kuna ushahidi unataka zaidi ya ule wa kada HamzaBila ushahidi huu ni udaku.
Aisee hiyo ni kweli kabisa! Mimi mwaka 2014 niliingia mgogoro wa kiwanja na Mkenya tena ana majina kikenya kabisa yanaanza na "O", Lakini bado aliweza kuwanunua maofisa ardhi na mwisho wa siku nikaambiwa mimi hati yangu ni ya mwaka 2014 na yeye ni ya mwaka 2013, Hivyo yeye ndo mmiliki wa kwanza wa hiko kiwanja hivyo mimi niondoke nitaftiwe kiwanja sehemu nyingine!Nchi inafunguliwa
Hivi mnafahamu unaweza kutoka Kenya, Rwanda, India, Afghanstan yaani siku unaingia Tanzania ukafika, ukatafuta dalali, ukanunua kiwanja, ukajenga kama ni nyumba ya kuishi, ya kupangisha au hata hotel na usiulizwe na yoyote tena usifuate utaratibu wowote ule tena ukioa Mtanzania ndio kabisa huulizwi na yeyote ukitaka kuyafahamu haya nenda Kigamboni, Mwanza, Geita, Karagwe, Mbeya, Sumbawanga na Katavi yaani nchi imefunguliwa sio mchezo.
Wewe katafute pesa zako uende US au Kenya ujenge..... acha uzalendo wa kipumbavu, wewe umejenga nyumba ngapi hapa Tz, hi nchi tunahitaji wawekezaji wanao leta pesa.......Nchi inafunguliwa
Hivi mnafahamu unaweza kutoka Kenya, Rwanda, India, Afghanstan yaani siku unaingia Tanzania ukafika, ukatafuta dalali, ukanunua kiwanja, ukajenga kama ni nyumba ya kuishi, ya kupangisha au hata hotel na usiulizwe na yoyote tena usifuate utaratibu wowote ule tena ukioa Mtanzania ndio kabisa huulizwi na yeyote ukitaka kuyafahamu haya nenda Kigamboni, Mwanza, Geita, Karagwe, Mbeya, Sumbawanga na Katavi yaani nchi imefunguliwa sio mchezo.
Kwahiyo ulitaka umnyang'anye kiwaja chake kwa sabb ni mkenya lol!!!! Wtnia tuna wivu na fitina za kiswahili ulienda kumchomea uahamiaji ili kiwaja kirudi kwako au ku mkomesha tu?Aisee hiyo ni kweli kabisa! Mimi mwaka 2014 niliingia mgogoro wa kiwanja na Mkenya tena ana majina kikenya kabisa yanaanza na "O", Lakini bado aliweza kuwanunua maofisa ardhi na mwisho wa siku nikaambiwa mimi hati yangu ni ya mwaka 2014 na yeye ni ya mwaka 2013, Hivyo yeye ndo mmiliki wa kwanza wa hiko kiwanja hivyo mimi niondoke nitaftiwe kiwanja sehemu nyingine!
Nilijaribu kufight mpaka uhamiaji nao wakajaribu kujitutumua lakin nako akawalambisha, nikaambiwa huyo bwana ni sehemu ya kundi la wakenya liliotwaliwa na Mwalimu Nyerere na kupewa uraia miaka ya sabini, so habari ikaishia hapo!
Skua na jinsi nikafta tu sehemu nyingine ila nashkuru Mungu kile nilichopata sehemu nyingine kilikuwa kikubwa sana about 2500 Square Metres!
Kaka mali ya Mtanzania ni ya Mtanzania! Kama hapa Zenji tu Wabara haturuhusiwi kujenga iweje turuhusu wakenya waje kujenga Tz na population yetu inapanda kwa kasi namna hii??Kwahiyo ulitaka umnyang'anye kiwaja chake kwa sabb ni mkenya lol!!!! Wtnia tuna wivu na fitina za kiswahili ulienda kumchomea uahamiaji ili kiwaja kirudi kwako au ku mkomesha tu?
Ni kweli ninrahisi sana kufanya yote hayo.Nchi inafunguliwa
Hivi mnafahamu unaweza kutoka Kenya, Rwanda, India, Afghanstan yaani siku unaingia Tanzania ukafika, ukatafuta dalali, ukanunua kiwanja, ukajenga kama ni nyumba ya kuishi, ya kupangisha au hata hotel na usiulizwe na yoyote tena usifuate utaratibu wowote ule tena ukioa Mtanzania ndio kabisa huulizwi na yeyote ukitaka kuyafahamu haya nenda Kigamboni, Mwanza, Geita, Karagwe, Mbeya, Sumbawanga na Katavi yaani nchi imefunguliwa sio mchezo.
ARDHI na MITI kwa Tanzania ni mali ya RAIS.Wakenya wengi sana wana viwanja na wamejenga dar. Kwa mbinu ya kuoa dada zetu