Tanzania utamaduni wa Watangazaji kumfanyia Raisi mahojiano huapo? Nini shida?

Tanzania utamaduni wa Watangazaji kumfanyia Raisi mahojiano huapo? Nini shida?

MURUSI

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
4,537
Reaction score
8,824
Naangalia hapa vyombo vya habari vya Kenya, naona kuna ratiba ya Ruto kufanyiwa mahojiano tena, hii ni mara ya pili kama sikosei tangu aingia Madarakani.

Kwa mtakao fuatilia mtakuja niambia wale waandishi wa habari wa Kenya ni levo nyingine watampiga Ruto maswali magumu tupu, hawaendi kujipendekeza wala kutafuta teuzi.

Sasa je Hatuna watangazaji? Wanaogopa au ni hawana uwezi wa kufanya mahojiano na Raisi?

Nchi inaendeshwa kama nchi za Kikomonist, Raisi anaogopwa kama nini sana sana ni kumsifia ndio kazi watangazaji wanaweza.

Screenshot_20230514_133400_com.facebook.katana.jpg
Screenshot_20230514_131752_com.facebook.katana.jpg
 
M
Naangalia hapa vyombo vya habari vya Kenya, naona kuna ratiba ya Ruto kufanyiwa mahojiano tena, hii ni mara ya pili kama sikosei tangu aingia Madarakani.

Kwa mtakao fuatilia mtakuja niambia wale waandishi wa habari wa Kenya ni levo nyingine watampiga Ruto maswali magumu tupu, hawaendi kujipendekeza wala kutafuta teuzi.

Sasa je Hatuna watangazaji? Wanaogopa au ni hawana uwezi wa kufanya mahojiano na Raisi?

Nchi inaendeshwa kama nchi za Kikomonist, Raisi anaogopwa kama nini sana sana ni kumsifia ndio kazi watangazaji wanaweza.

View attachment 2621599View attachment 2621600
Magufuli aliharibu kila kitu nchi kuanzia uhuru wa habari hadi uchumi.
 
Sasa huyo rais wenu ataongea nini akihojiwa hapo zaidi ataanza kuongea uongo uongo wa kutunga as if anaongea na watoto wadogo.

Tatizo serikali ya hapa ni waongo waongo.
 
Ataongea nn sasa🤣🤣🤣watangazaji wenyewe kina Jumalokole na kina Masanja🤣🤣🤣
Hahahaha..bt utamaduni huo wa kuhoji viongozi Tz hawakuzoea....muulizeni Paschal awaambie uzoefu aliopata aliopata nafasi kama hiyo ya kuhoji, awamu ile ya 5..... Hahahaha
 
Naangalia hapa vyombo vya habari vya Kenya, naona kuna ratiba ya Ruto kufanyiwa mahojiano tena, hii ni mara ya pili kama sikosei tangu aingia Madarakani.

Kwa mtakao fuatilia mtakuja niambia wale waandishi wa habari wa Kenya ni levo nyingine watampiga Ruto maswali magumu tupu, hawaendi kujipendekeza wala kutafuta teuzi.

Sasa je Hatuna watangazaji? Wanaogopa au ni hawana uwezi wa kufanya mahojiano na Raisi?

Nchi inaendeshwa kama nchi za Kikomonist, Raisi anaogopwa kama nini sana sana ni kumsifia ndio kazi watangazaji wanaweza.

View attachment 2621599View attachment 2621600
Magufuli alifanya moja matokeo yake waandishi akiwemo pascal mayalla wakaiza maswali ya hovyo, toka siku hiyo hakujawa na press yoyote. Kwa kifupi unataka waandishi waumbuke kwa kuonyesha ufinyu wao.
 
Back
Top Bottom