TBC lazima watarusha ,hii nimechi kubwa kwa nchi.kashasha na e.bwigane ndani ya nyumba.TBC wapo vizuri.wadau wa soka tujulishane channel itakayoonyesha game la kesho kati ya Tanzania na Algeria na muda utakaoanza.
AzamTV wanarusha kupitia zbc two. Confirmed kwenye Facebook page yao AzamTVTBC lazima watarusha ,hii nimechi kubwa kwa nchi.kashasha na e.bwigane ndani ya nyumba.TBC wapo vizuri.
Kumbukumbu ni muhimu sanaView attachment 722417 Nakumbushia tu.
download azam app utaangalia livetunaomba link jamani, wengine kwa tv hatuna
Pakiwa na mpira haifanyi kazidownload azam app utaangalia live