Tanzania vs Algeria (Septemba 14, 2015): Mechi ya kufuzu Kombe la Dunia Urusi - 2018

Status
Not open for further replies.
Leo Samata anatupia mawili na Ulimwengu anatupia moja..
Watakaa tu leo wapende wasipende!
 
Samatta akishinda leo atazidi kujitambulisha kimataifa

in #stars we trust
 
leo ndo tutajulikana watanzania halali na wale wahamiaji.
 
TBC - ACCESS DENIED ZBC2 ACCESS DENIED Dah!
 
mi naahangaa wanaoamini mauchawi. mbona hawarogi tukawa wa kwanza kila kitu?
 
Kitu ndio kinaanza ...timu zinaingia ueanjani sasa
 
Mungu atie neema yake daaaa wakati sisi tunajivunia wakina samata na ulimwengu wao wanaongelea michezaji inacheza uefa champ& cap

Ndio hivo ndugu yangu, mtu chake, wacha nasisi tujivunie hiki hiki kidogo tulichanacho...! Mungu ibariki Tanzania mungu ibariki taifa stars
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…