Ni habari kutoka jijini mwanza ambapo wanafunzi wa darasa la nne katika shule ya msingi Nyerere watafanya mitihani yao ya taifa wakiwa wamekaa chini kutokana na shule hiyo kumiliki jumla ya madawati hamsini na mbili tu ambayo yanatumiwa na darasa la saba pekee
source,startv habari