tanzania womens bank: kwa nini gender descrimination kwenye biashara???

Semilong

JF-Expert Member
Joined
Mar 5, 2009
Posts
1,711
Reaction score
220
1. jamani kwanini gender descrimination kwenye biashara?
2. je ni yao ni kuwasaidi wanawake au kupata wateja kwa kutumia mgongo wa wanawake???
3. kwani hiyo benk ingeshindwa kuitwa jina jingine alafu ikatoa huduma nzuri kwa wanawake na wanaume????
4. je rais ni sahihi yeye ku-support gender descrimination kwenye biashara????
5. je kuwa na bank ya wanawake ni kuwaongezea ushindani au ni kuwaambia kuwa hamuwezi kushindana na wanaume na hivyo kuwadumaza ushindani wao????
6. je wanaume wasienda kufungua kwa ajili ya gender descrimination?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…