GT- kila jambo na purpose yake, wangetengeneza kilometa kadhaa lakini tatizo lisingekwisha . na wala hiyo haifit katika stratergy ya "prioritization" . mathalani kwa hiyo picha uliyoiweka hapo suppose wasingetengeneza huo uwanja na kutengeneza hicho kipande cha barabara, mtu mwingine angeweza kupiga picha kama hiyo hiyo katika kipande kingene ambacho hakijatengenezwa au katika mikoa mingine.
sasa ni lini tutatengeneza barabara za kutosha ili tuwe na uwezo wa kusema sasa tutengeneze uwanja mzuri na bora?.bila shaka hilo si la miaka 20 au hata 50, sasa kweli tungoje that long mzee?.
no way!. mimi nasema ni vizuri sana serikali ilivyojenga uwaja ule, na pia ni jukumu la serikali kufight in both fronts tuwe na barabara nzuri na viwanja vingine vizuri