moghasa
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 1,084
- 1,254
Kila shetani na mbuyu wake ni usemi uliokuwepo tangu tangu na tangu!!. Shukrani kwa wahenga, wangechelewa tu kusema labda ningesema Mimi!!
Kabla ya kujiunga hapa Jf miaka minne iliyopita nilikuwa naitembelea kama mgeni, nikiwa na member ambao ilikuwa kwangu ni lazima nione wamebandika nini. Mmoja wapo akiwa ni FaizaFoxy !!
Asipochangia mada nahisi kama haijakamilika, kwenye masuala ya siasa niko dormant sio CHADEMA wala CCM lakini ukweli kutoka moyoni napendenda anavyojenga hoja za dini yake na kila kitu, in short this is obsession !!
Utafiti unaonesha moja ya nchi za kiafrika zinazoipenda nchi ya Marekani Tanzania pia tumo (ingawa hatuizidi Korea Kusini) na ndio maana kila kitu kinacho-trend USA kinatrend pia Bongo.
Hali ni tofauti na iPhone 7 iliyotoka awamu hii ya tano, nimebaki najiuliza shida iko wapi, na je shida inayomkumba mama yangu FaizaFoxy ndio inaikumba na iPhone 7 pia?
Kutoka moyoni FaizaFoxy nakumiss sana, kama unaweza kutoa ufafanuzi basi ntashukuru mama yangu!!
Natanguliza heshima mbele. Na kama kuna makosa ya tahajia basi kosoa, make wakurya na R in moyo na damu.
Kabla ya kujiunga hapa Jf miaka minne iliyopita nilikuwa naitembelea kama mgeni, nikiwa na member ambao ilikuwa kwangu ni lazima nione wamebandika nini. Mmoja wapo akiwa ni FaizaFoxy !!
Asipochangia mada nahisi kama haijakamilika, kwenye masuala ya siasa niko dormant sio CHADEMA wala CCM lakini ukweli kutoka moyoni napendenda anavyojenga hoja za dini yake na kila kitu, in short this is obsession !!
Utafiti unaonesha moja ya nchi za kiafrika zinazoipenda nchi ya Marekani Tanzania pia tumo (ingawa hatuizidi Korea Kusini) na ndio maana kila kitu kinacho-trend USA kinatrend pia Bongo.
Hali ni tofauti na iPhone 7 iliyotoka awamu hii ya tano, nimebaki najiuliza shida iko wapi, na je shida inayomkumba mama yangu FaizaFoxy ndio inaikumba na iPhone 7 pia?
Kutoka moyoni FaizaFoxy nakumiss sana, kama unaweza kutoa ufafanuzi basi ntashukuru mama yangu!!
Natanguliza heshima mbele. Na kama kuna makosa ya tahajia basi kosoa, make wakurya na R in moyo na damu.