Tanzania ya Tatu kwa kuagiza nguo za Mitumba barani Afrika

Tanzania ya Tatu kwa kuagiza nguo za Mitumba barani Afrika

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Wakuu

Tanzania inashika nafasi ya tatu katika orodha ya nchi waagizaji wakubwa wa nguo za mitumba barani Afrika, ikiwa na thamani ya $148 milioni kwa ripoti ya mwaka 2022.

Biashara hii imeendelea kukua kutokana na mahitaji ya nguo nafuu na ubora wa bidhaa zinazozalishwa kutoka nje. Kenya inashika nafasi ya kwanza kwa kuagiza nguo za mitumba, ikifuatiwa na Ghana.
IMG_2355.jpeg
 
Hii ni pole kwa nchi ...inaonyesha jinsi gan Haina uwezo wa kutengeneza hata viwanda vidogo vidogo kwa ajiri ya nguo za kawaida
 
Wakuu

Tanzania inashika nafasi ya tatu katika orodha ya nchi waagizaji wakubwa wa nguo za mitumba barani Afrika, ikiwa na thamani ya $148 milioni kwa ripoti ya mwaka 2022.

Biashara hii imeendelea kukua kutokana na mahitaji ya nguo nafuu na ubora wa bidhaa zinazozalishwa kutoka nje. Kenya inashika nafasi ya kwanza kwa kuagiza nguo za mitumba, ikifuatiwa na Ghana.
View attachment 3195692
da !! natamani kuhamia kenya!!
 
Wakuu

Tanzania inashika nafasi ya tatu katika orodha ya nchi waagizaji wakubwa wa nguo za mitumba barani Afrika, ikiwa na thamani ya $148 milioni kwa ripoti ya mwaka 2022.

Biashara hii imeendelea kukua kutokana na mahitaji ya nguo nafuu na ubora wa bidhaa zinazozalishwa kutoka nje. Kenya inashika nafasi ya kwanza kwa kuagiza nguo za mitumba, ikifuatiwa na Ghana.
View attachment 3195692
Burundi, malawi, ??
 
Back
Top Bottom