Felix King Zaman
Senior Member
- Aug 6, 2016
- 125
- 117
Tanzania ya viwanda haiwezekani kabisa hata kwa enzi za magufuri. Udikteta haujengi nchi. Wananchi wanafocus vitu vya kiwaki kuliko maendeleo. Yaani asbuhi kila MTU instagram kufwatilia Mange Kimambi akiichana Serikali, kufwatlia bifu za Daimondi na Kiba, Kufwatilia picha za utupu za Amber Lulu...
Haiwezekani kabisa. Kwanza CCM hawana jipya ila udikteta.
[HASHTAG]#MnitekeKamaRomaMkatoliki[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NaendaZimbabwe[/HASHTAG]
Sent using Jamii Forums mobile app
Haiwezekani kabisa. Kwanza CCM hawana jipya ila udikteta.
[HASHTAG]#MnitekeKamaRomaMkatoliki[/HASHTAG]
[HASHTAG]#NaendaZimbabwe[/HASHTAG]
Sent using Jamii Forums mobile app