Tanzania yachaguliwa kuwa chuo cha mafunzo ya VAR

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Tanzania ndio nchi pekee iliyoteuliwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), kutoka ukanda wa CECAFA kuwa kituo cha mafunzo ya VAR.

Kwa mujibu wa taarifa ya TFF, vituo vingine ni Afrika Kusini, kutoka ukanda wa COSAFA, Senegal kutoka ukanda wa WAFU A na Ivory Coast kutoka ukanda wa WAFU B.

(Imeandaliwa na @allymufti_tz )

#VAR #Soka

Asanteni Yanga

 
Soccer gani waboreshe kwa miaka yote wana kosa hata referee moja tu kuenda Afcon au World cup, kiwango chetu cha soka na elimu pamoja na uadilifu bado sanaa
Arajiga kashaanza kutoboa kimataifa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…