Viongozi wa soka Bongo siyo kabisa toka enzi ya Babu Ndolanga hatuna viongozi wa soka bali manazi wa soka tu wakijinufaisha na mapato ya soka na kujipatia umaarufu tu hata huyu Jamal Malinzi hana lolote kwa maendeleo ya soka letu bali ujiko na kujikweza tu.Mbona tunashiiiiiiida Wabongo!!!