Tanzania yaendelea kuwa chuo cha mafunzo kwa Kenya, Kenya yaiga Azimio la Arusha kwa kutangaza "Azimio la Umoja"

Tanzania yaendelea kuwa chuo cha mafunzo kwa Kenya, Kenya yaiga Azimio la Arusha kwa kutangaza "Azimio la Umoja"

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617
MY TAKE: Hii ndio njia sahihi ya kuleta umoja, upendo na mshikamano wa taifa, ila mlipaswa kuanza haya Mambo mwanzoni kabisa baada ya kupata uhuru, Sasa hivi ni "too late" nchi imeshapasuka Sana kisiasa, kiuchumi, na kiukabila.
Tony254
 
MY TAKE: Hii ndio njia sahihi ya kuleta umoja, upendo na mshikamano wa taifa, ila mlipaswa kuanza haya Mambo mwanzoni kabisa baada ya kupata uhuru, Sasa hivi ni "too late" nchi imeshapasuka Sana kisiasa, kiuchumi, na kiukabila.
Tony254
Neno azimio ni neno la kiswahili. Sasa ulitaka tutumie neno ipi la kiswahili isipokuwa neno hilo? Kiswahili pia ni lugha letu so hatujawaiga popote. Sisi tunatumia lugha yetu wenyewe. Hahaha
 
MY TAKE: Hii ndio njia sahihi ya kuleta umoja, upendo na mshikamano wa taifa, ila mlipaswa kuanza haya Mambo mwanzoni kabisa baada ya kupata uhuru, Sasa hivi ni "too late" nchi imeshapasuka Sana kisiasa, kiuchumi, na kiukabila.
Tony254
It is never too late kuleta watu pamoja.
 
Neno azimio ni neno la kiswahili. Sasa ulitaka tutumie neno ipi la kiswahili isipokuwa neno hilo? Kiswahili pia ni lugha letu so hatujawaiga popote. Sisi tunatumia lugha yetu wenyewe. Hahaha
Umesoma hiyo article yote?, Ninyi wenyewe ndio mnasema kwamba wanaiga Nyerere na Azimio la Arusha, sio Mimi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Eti Azimio la Arusha ndio eti Azimio La Umoja la Raila?

Nigga are you insane?
Sasa wewe ni chizi au kichaa?, Soma hiyo article walivyoandika, as far as this article is concerned, insane is your colleagues in Kenya a cording to you..

Tanzania is a Centre for leadership in Africa, karibuni muendelee kujifunza[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Next watakuambia Kenya yaiga Barabara ya Morogoro kwa kujenga barabara ya Thika. Hawa watu wana shida ya akili.[emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo unathibitisha kwamba wakenya mko na shida ya akili sicyi?[emoji23], Kwasababu aliyesema hivyo ni kiongozi/ meanasiasa wenu aliyeripotiwe katika hiyo article [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Yani kaka kama ulikuwa kichwani mwangu! Raila ni disciple wa Nyerere!
Alitorokea Tanzania akapewa Passport ya Tanzania ndiyo iliyonuwezesha kwenda kusoma Ujerumani, yeye na baba yake wote ni pro-Nyereresim na PLO
 
Alitorokea Tanzania akapewa Passport ya Tanzania ndiyo iliyonuwezesha kwenda kusoma Ujerumani, yeye na baba yake wote ni pro-Nyereresim na PLO
Oginga Odinga is a much older man than Nyerere. Oginga Odinga was a socialist before Nyerere knew what socialism is. Hivi nani amuige mwengine?
 
Oginga Odinga is a much older man than Nyerere. Oginga Odinga was a socialist before Nyerere knew what socialism is. Hivi nani amuige mwengine?
Even Mzee Jommo Kenyatta was 30years older than Nyerere but one of his cars used struggle time for Kenya's independence was given by Nyerere.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Almost all ANC leaders were older than Nyerere including Mandela, but Nyereresim in ANC of the highest level.[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tanzania ndio centre ya leadership kuliko kenya?

Tanzania mgombea urais ndio huyo huyo anachagua msimamizi wa uchaguzi?Hiyo ndio leadership au mavi?

Acha uduwanzi wewe
Hahahaha, kwahiyo unataka kulinganisha Tanzania na nchi gani hapa Africa katika leadership?, Kenya?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tanzania ndio centre ya leadership kuliko kenya?

Tanzania mgombea urais ndio huyo huyo anachagua msimamizi wa uchaguzi?Hiyo ndio leadership au mavi?

Acha uduwanzi wewe
Kenya nchi ambayo viongozi wake wamenyakua ardhi kubwa na kujilimbikizia Mali na kuwaacha wananchi masikini wakitaabika.

Kenya ambayo makabila matatu pekee ndiyo yenye haki ya kuongoza nchi katika nafasi ya urais.

Kenya amvayo 75% ya nafasi za juu serikalini zimeshikwa na kabila mbili tu(Kikuyu na Kalenjin)

Kenya ambayo inegawanyika kwa misingi ya ukabila ndio unasema unalinganisha na Tanzania?, Watakucheka watu [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Even Mzee Jommo Kenyatta was 30years older than Nyerere but one of his cars used struggle time for Kenya's independence was given by Nyerere.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].

Almost all ANC leaders were older than Nyerere including Mandela, but Nyereresim in ANC of the highest level.[emoji23][emoji23][emoji23]
There's nothing like Nyerererism. He was a communist that turned socialist when he realised he had messed big time. Meanwhile Oginga Odinga was a socialist from the word go. In fact, they disagreed with Kenyatta because Kenyatta wanted Kenya to be capitalist while Oginga wanted socialism. Meanwhile, Nyerere wanted Communism, later copied Odinga's socialism and currently Tanzania is copying Kenyatta's capitalism. Now tell me who is copying who?
 
Upumbavu huu

Tanzania ndio hakuna?

Ardhi imeshikwa na wanaCCM

Uongozi umeshikwa na wanaCCM na makabila yake

Wanadamu wengine hatuna chochote...acheni upumbavu

Lete ushahidi wa ardhi iliyoshikwa na CCM[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nchi ya dictatorship unaifananisha na kitu gani ndugu?

Nashindwa kukuelewa

Unafananisha awamu ya kwanza ya utawala wa Tanzania au Awamu ya Pili au Awamu ya Tatu au Awamu Ya Nne au Awamu ya Tano au Awamu ya Sita?

Awamu ya Tano ya Magufuli ni dictatorship na ni nonsense

Awamu ya Sita ya Samia ni dictatorship na ni nonsense

As we speak now,Kenya is ahead of everybody else wako mbele huko na akina Ghana,South Africa,etc....

Sisi tumerudi hadi nyuma ya Nyerere tena hadi mbaya zaidi ya hata Ukoloni,we cant teach anybody anything about uongozi now!
Ahead in terms of
1)Ukabila
2)Land grabbing
3) Nepotism
4) Ethnicity and political violence
5) Economic injustice
 
Jesus Christ...

Unajitia mnafiki....?

Nenda pale ardhi wakupe data

Mashamba yote makubwa yanamilikiwa na viongozi wa CCM na serikali ya CCM

Nyumba za serikali za Masaki Magufuli waliuziana wao kwa wao matumbo juu

Etc
Leta ushahidi wacha kelele, hujui kwamba Tanzania ardhi ni Mali ya serikali?, taja kiongozi yeyote serikalini mwenye kumiliki ardhi kubwa Tanzania, Kenyatta family pekee inamiliki 24% ya ardhi yote ya Kenya, Moi na Rutto wameshikilia mashamba makubwa, taja kiongozi yeyote Tanzania mwenye hekari elfu Moja [emoji23] [emoji23][emoji23]
 
Na ni the 6th biggest economy in Africa

The most democratic country in east africa

Sasa sijui sisi Wabongo tunataka kuongea mavi gani?

Nyie CCM ndio wa kuua kabisa mamaee
Wewe huna akili siwezi kujibishana na mtu mjinga Kama wewe, eti "the most democratic country in East Africa", soma hii na uone jinsi ulivyomjinga, Kenya haiwezi pita Tanzania hata siku Moja kwa demokrasia, watu wajinga Kama wewe ndio watadikiliza maneno ya wajinga ya mtaani wakijidanganya kwamba Kenya Kuna demokrasia, punguza ujinga wako.
 
Back
Top Bottom