Tanzania yaendelea kuwa nchi ya wajinga .milion 14 hawajui kusoma na kuandika

joss1973

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2010
Posts
405
Reaction score
102
Ripoti ya shirika la umoja wa mataifa linaloshughulikia Elimu sayansi na Utamaduni (Unesco) inasema watu wasiojua kusoma Tanzania hadi kufikia mwaka 2002 ilikuwa idadi ya watu wasiojua kusoma na kuandika ilikuwa watu 6,2milion .idadi hiyo ni kwa watu wenye umri wa miaka 15 na kuendelea ambao ni sawa na asilimia 31,lakini kwa sasa idadi hiyo imeongezeka na kufikia watu zaidi ya milioni 14 .hii inatia aibu sana wadau
 
kwa hii miundombinu nani aende shule..
 
Hii taarifa ni ya hatari, wasiojua kusoma ni wengi hv.
Ee MUNGU nipe uwezo niweze kuwafundisha ndugu zangu kwa nguvu zangu zote.
 
Hii taarifa ni ya hatari, wasiojua kusoma ni wengi hv.
Ee MUNGU nipe uwezo niweze kuwafundisha ndugu zangu kwa nguvu zangu zote.

.
Hebu jaribuni kutulia vijana,
hapo ulipo muulize mwenzako kama anajua kusoma na kuandika
.
Rekodi nyingine hao huwa wanatoa tu
.
Tanzania ina Takribani watu Milioni 40 kwa hiyo ukiambiwa watu milion 14 hawajui kusoma na kuandika...
.
Ndani yake kuna Vipofu na Viziwi
sasa hao watajuaje kusoma na kuandika
.
Kwa hiyo katika hao watu milioni 14 wanao wasema wao kuwa hawajui kusoma ni Takribani watu milioni kama 2 hivi ambao wanajiweza na hawajui kusoma...
.
Nikiwa na maana Tanzania Vipofu na Viziwi si chini Ya milioni kama 6 hivi......
.
Tanzania ina watu wengi tu wanaojua kusoma lakini keep in you're min you GREAT THINKER
.
 
Wapo wengi sana mkuu hasa wengi wanaimaliza darasa saba .hawajui kuandika hata kusoma .ni jambo linalotisha.
 
Inawezekana kabisa kuwa na iyo idadi kama watoto wanamaliza darasa la 7 hawajui kusoma wala kuandika kwa iyo idadi sishangai
 
Hali y elimu ni tete sana wanaomaliza shule bila kujua kusoma na kuandika wanazidi kuongezeka huku alama za kuwavusha toka ngazi moja kwenda nyingine zikizidi kushushwa. Kwa lkweli future ya elimu yetu iko mashakani
 

Kwa hyo unataka kusema vipofu na viziwi hawajui kusoma? acha ukanjanja ww, kama ndugu/watoto wako umewafungia ndani ili wasijifunze kusoma ww endelea ila hao unaowataja kwa sasa wanauwezo mkubwa wa kusoma!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…