Tanzania yagoma kujifunza kwa Sudan Kusini

Tanzania yagoma kujifunza kwa Sudan Kusini

Jaji Mfawidhi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2016
Posts
15,835
Reaction score
23,776
Sudan Kusini wamefuzu kushiriki michuano ya Olympics upande wa wanaume leo 22-7-2024

Miaka 14 iliyopita Taifa hili lilijipatia Uhuru kutoka kwenye mikono ya Sudan ya Kaskazini ile ya Dikteta Al Bashir.
Leo hii wamekabiliana vikali sana na timu ya taifa ya Marekani, inayo ogopwa dunia nzima kama wachawi wa Sumbawanga wanavyo-ogopwa ukanda wa Kusini mwa Afrika.

Niliona wawakilishi wetu Olympics wakipewa “backpacks”, ila sishangai sana, mara nyingi “tunamuachia Mungu”. Tunajivunia uzalendo
😂
.

Sudan Kusini hawana uwanja wa ndani wa kikapu, walau Luol Deng kawajengea mmoja mwaka huu, zaidi timu hii ipo kwenye mikono ya wachezaji wakongwe na wenye uwezo mkubwa.

Tujifunze! Japo ni aibu kujifunza kwa zaidi ya miaka 60.

1.jpeg
 
Tanzania ni Taifa la watu goigoi Na walegevu, hamna wanachokiweza. Zamani nilodhani ni wabobevu sana kwenye maswala ya uzinzi Na zinaa, kumbe Na kwenye sekta hiyo hawawezi kitu. Wanaume wanalalamika stress zimewaondolea nguvu za kiume, wanawake nao wanalalama eti hawana hamu sababu ya riba kali ya mikopo kausha damu
 
Tanzania ni Taifa la watu goigoi Na walegevu, hamna wanachokiweza. Zamani nilodhani ni wabobevu sana kwenye maswala ya uzinzi Na zinaa, kumbe Na kwenye sekta hiyo hawawezi kitu. Wanaume wanalalamika stress zimewaondolea nguvu za kiume, wanawake nao wanalalama eti hawana hamu ya mdinyo sababu ya riba kali ya mikopo kausha damu
Hapo sasa! hatari kweli kweli. But Nape anatuwakilisha vema kwenye bao la Mkono.
 
Back
Top Bottom