BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Timu ya Tanzania ya Beach Soccer imepata Medali ya Bronze baada ya kufanikiwa kuwachapa Libya Magoli 9-3.
Morocco imetwaa Ubingwa baada ya kutoka Sare ya 3-3 dhidi ya Senegal, mchezo ulioishia kwenye Matuta ambapo Morocco imeibuka na ushindi wa Magoli 4-3.
Mgawanyo wa Zawadi umekuwa kama ifuatavyo, Morocco amechukua Medali za Dhahabu, Senegal wameondoka na Medali za Fedha na Tanzania imebeba Medali za Shaba (Bronze).