Tanzania yakataa ombi la Kenya la kuomba msamaha kuhusu mzozo wa zuio la ndege za Kenya

 
Hukuelewa nilichoandika.
 
Wewe ni kiherehere sana, utashangaa siku moja wakubwa wanskunywa chai pamoja ukaumbuka
 
Kwani kukataa kuruhusu hiyo biashara kunanufaisha wananchi wa Tzn na kuididimiza wananchi wa Kenya au? Maslahi na tabia binafsi za mtu zinapofanywa kuongoza maslahi ya nchi na wananchi.
 
Kwani kukataa kuruhusu hiyo biashara kunanufaisha wananchi wa Tzn na kuididimiza wananchi wa Kenya au? Maslahi na tabia binafsi za mtu zinapofanywa kuongoza maslahi ya nchi na wananchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…