Tanzania yalaani mapigano yanayoendelea Sudan na kutoa wito wa suluhu, kuondoa raia wake ikihitajika

Tanzania yalaani mapigano yanayoendelea Sudan na kutoa wito wa suluhu, kuondoa raia wake ikihitajika

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Leo Bungeni, waziri Tax ametoa wito kwa pande zinazohasimiana Sudan zifikie suluhu na kulaani mapigano hayo. Tax amesema wapo watanzania 210 na hadi sasa hawajapata taarifa ya mtanzania aliyedhurika.

Tanzania imesema inafanya mpango wa 'evacuation' kwa raia wa Tanzania endapo itahitajika.

 
Bora muwaache tu Sudan maana wakija hapa wakakutana na Ripoti ya CAG watakufa ghafla majumbani.
 
Back
Top Bottom