Tanzania yangu

verykeys

Senior Member
Joined
Mar 29, 2016
Posts
155
Reaction score
90
Kenya wana utaratibu wa kuwafanyia enterview live kwenye televisions watu wanaotaka nafasi za juu serikalini, kama jaji mkuu, jaji mkuu msaidizi, katibu mkuu n.k,

Natamani cku moja huu utaratibu uje tanzania ili wenye vyeti feki wakafungie maandazi. asante kenya no kupendelea mwenye uwezo ndo anapita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…