Tanzania yaongoza kwa amani Afrika Mashariki

Tanzania yaongoza kwa amani Afrika Mashariki

pamoja Santa

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2019
Posts
743
Reaction score
1,148
Ni baada ya majirani zetu kudai kuwa bongo hakuna amani na wala hapakaliki sasa kama ulikuwa hujui bongo ndo Kwanza watu wake wana amani tele kuliko hata wanaojisifia kila siku kuwa wana amani kuliko wote katika ukanda huu wa A.Mashariki.Na hizi ni juhudi kubwa za serikali kuhakikisha wananchi wa Tz tunaiishi kwa amani. Pongezi kwa Serikali
Screenshot_2019-06-18-12-17-16.jpeg
 
Hao hao mabeberu waliowasifia kuwa na amani ndio wamesema nyie mpo ndani ya mataifa ambayo watu wake hawana furaha na wanaishi kwa machungu na dhiki, mpo kwenye level moja na Syria. Hivyo ina maana mna amani na dhiki kwa wakati mmoja, hehehe

10 least happy countries are (with 1 being the least happy):

  1. South Sudan
  2. Central African Republic
  3. Afghanistan
  4. Tanzania
  5. Rwanda
  6. Yemen
  7. Malawi
  8. Syria
  9. Botswana
  10. Haiti

 
Hao hao mabeberu waliowasifia kuwa na amani ndio wamesema nyie mpo ndani ya mataifa ambayo watu wake hawana furaha na wanaishi kwa machungu na dhiki, mpo kwenye level moja na Syria. Hivyo ina maana mna amani na dhiki kwa wakati mmoja, hehehe

10 least happy countries are (with 1 being the least happy):

  1. South Sudan
  2. Central African Republic
  3. Afghanistan
  4. Tanzania
  5. Rwanda
  6. Yemen
  7. Malawi
  8. Syria
  9. Botswana
  10. Haiti


Anzisha uzi tutakuja kuchangia. Lakini sasa is all about PEACEFULNESS; ABSENCE OF DISTURBANCE AND STRESS; SERENITY; CULMNESS; STATE OF BEING TRANQUIL in TANZANIA.

By the way poleni na msiba wa wale 14 waliouawa na Shabab.
 
Anzisha uzi tutakuja kuchangia. Lakini sasa is all about PEACEFULNESS; ABSENCE OF DISTURBANCE AND STRESS; SERENITY; CULMNESS; STATE OF BEING TRANQUIL in TANZANIA.

By the way poleni na msiba wa wale 14 waliouawa na Shabab.

Wakisema mnaongoza kwa machungu na dhiki mnalalamika na kuwaita mabeberu na kusema Tanzania inatafutwa, wakiwasifia kuwa na amani mnakenua na kuchekelea, hehehe nyie kituko.
 
Wakisema mnaongoza kwa machungu na dhiki mnalalamika na kuwaita mabeberu na kusema Tanzania inatafutwa, wakiwasifia kuwa na amani mnakenua na kuchekelea, hehehe nyie kituko.

Ahaaa haaa haaa
Watu wenye akili zetu tulishajadili huo uzi wa happiest nini SIJUI kwa mapana

Tukatoa vivid examples. Na tukaona ni njama tu kama za akina the economist.


In real fact, waTanzania are happy people in their country. They fear nothing. Kule hawana shabab, sijui Mombasa Democratic Council au mungiki.

Wako safi kabisa.
 
Ahaaa haaa haaa
Watu wenye akili zetu tulishajadili huo uzi wa happiest nini SIJUI kwa mapana

Tukatoa vivid examples. Na tukaona ni njama tu kama za akina the economist.


In real fact, waTanzania are happy people in their country. They fear nothing. Kule hawana shabab, sijui Mombasa Democratic Council au mungiki.

Wako safi kabisa.

Hadi leo umerudia kile kicheko chako, hehehe naomba wakileta data za kwamba mnaishi kwa dhiki usinune... Ubaki hivyo hivyo.
 
Ni baada ya majirani zetu kudai kuwa bongo hakuna amani na wala hapakaliki sasa kama ulikuwa hujui bongo ndo Kwanza watu wake wana amani tele kuliko hata wanaojisifia kila siku kuwa wana amani kuliko wote katika ukanda huu wa A.Mashariki.Na hizi ni juhudi kubwa za serikali kuhakikisha wananchi wa Tz tunaiishi kwa amani. Pongezi kwa SerikaliView attachment 1130597
safi sana...
 
Tunaumizana kiuchumi na kutekana wenyewe kwa wenyewe (hili linafanyiwa kazi karibu litapata ufumbuzi)
Jirani jirani mnapambana na magaidi wenyewe mnachinjana kama mbuzi suicidal zimekuwa nyingi mume kaua mke mke kaua mume mke kaua mchepuko mume kaua mke eti hakupika githeri etc
Hili ndilo linalozungumziwa hapa jirani
 
Back
Top Bottom