Tanzania yaongoza kwa bei ndogo ya mafuta ya taa, diesel na Petrol Afrika Mashariki, Kenya bei juu



Kumbe najadili na mtu hana akili,

Akili yangu nisamehe,
 
Siyo wewe tu unaefika Kenya!

Kenya wote tunafika, katika nchi zinaongoza kwa maisha magumu hapa EAC ni Kenya
 
Usijali.. nitakuelimisha naona ww kweli uko frozen upstairs.

Ajira hakuna.. kipato hakuna.. na mfumuko wa bei kila sehemu...
Kwahiyo ulivyokuja bongo 2018 walikuwa hawalalamiki maana ajira zilikuwa za kumwaga sio?
 
Soma vizuri, nimekwambia bei zimepanda pia kwenye soko La dunia,

Unataka mfuta yauzwe 1,700 tutayatoa wapi?

Kuhusu hizo nchi leo nazungumzia EAC,
Sawa soko la dunia yanauzwaje thamani yake kwa lita moja, tia usafiri naa mambo mengine, kodi zoote uchanganue kisha wweekaa hapa mezani tujionee wenyewe.
 
Kwanini wewe usifanye ili kutetea hoja yako,
Naona jamii forum imevamiwa sasa,

Wewe atakuandika tu hijui
Umefikaje?
Sawa soko la dunia yanauzwaje thamani yake kwa lita moja, tia usafiri naa mambo mengine, kodi zoote uchanganue kisha wweekaa hapa mezani tujionee wenyewe.
 
huu uzi umekaa kimaandazi sana tena mleta uzi hata lasaba hajamaliza yaani hajui Tanzania pekee kwamba ndio lita moja ya mafuta ina kodi zaidi ya 45? maaa mafuta hadi bandari ya Dar bei yake ni sh 1200 kwa lita moja sasa angalia hayo matozo yanayowekwa ndani yake , ni balaa. Cha ajabu hata Rwanda na Zambia ambako koooote mafuta yao yanapitia kwetu wao bei rahisiiii wala mafuta sio ishu kwao. Kuna dhambi inatutafuna
 
Bajeti ya 2020/2021 ya Tanzania ni zaidi ya 33t ambapo pesa ya matumizi ya kawaida ni zaidi ya 20t na pesa kwa ajili ya maendeleo ni zaidi ya 13t. Sasa kwa bajeti hiyo ambayo pesa ya matumizi ya kawaida ni karibu 80% ya bajeti na 20% ndio ya miradi ya maendeleo hapo kuna nini. Kiuhalisia watanzania hawakatai hizo Kodi au posho ila kinachoumiza ni pesa nyingi zinaenda kwenye mambo yasiomgusa mwananchi moja kwa moja(maendeleo) halafu bado wanawaongezea mzigo mwingine ndio maana karibu miaka yote ya uhuru tunapambana na changamoto zilezile
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€ ila nyie Watanzania,


Zambia kweli na Tanzania tutafunye assimilation,

ZASCO wachina wameichukua,

LUSAKA AIR PORT wachina wamechukua

ZABC wachina wameichukua

Sasa kweli unataka kucompare hizi nchi mbili kweli,?!
Rudi kwenye mstali wa bei ya mafuta
 


Mkuu Msamehe Opportunity Cost ,
Nadhani ni hasira katika kutetea ukweli,

Hoja ya tofauti in economic levls inamalizwa na Currency rate,

Lita moja ya mafuta Kenya ni Ksh 134.72

Hii Ksh 134.72 kwa Tanzania ni Tshs 2,831 lakini thamani iko sawasawa katika nchi zote mbili,

Maana yake shilingi ya Kenya ina nguvu kuliko ile ya Tanzania lakini Tanzania ,

Pamoja na Tanzania pesa yake kuwa chini bado na mafuta pia yako chini ndio maana pakawa exchange rate ili kustandardize hiyo tofauti ya kiuchumi yakila nchi,


TANZANIA MAFUTA NI CHINI SANA TUMSHUKURU MAMA SAMIA,
 
Migori, Kenya


Bei ya mafuta Tanzania yasababisha wakaazi wa maeneo ya Migori-Isebania Kenya kuingia barabarani

 
Mkuu kwa Nchi zinazoendelea kama yetu bajeti ya utawala lazima iwe kubwa,halafu utawala wenyewe sehemu ya hizo pesa zinagharamia elimu,afya,maji nk hivi vitu ni investment kwenye social services return yake ni indirect .

Kwa hiyo usidhani hiyo 20 T yote inaingia kwenye salary ,posho na vitu kama hivyo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…