Mbaya zaidi, ni nchi inaongoza kwa rasilimali kuliko zote EA, ila rais akiulizwa kwa nini nchi yetu ni masikini anakuwa hana jibu....
Mbaya zaidi, ni nchi inaongoza kwa rasilimali kuliko zote EA, ila rais akiulizwa kwa nini nchi yetu ni masikini anakuwa hana jibu....
Ni lazima tuendelee kuwa maskini kwa maana hata hao wanaojiita wapambanaji hawana jipya kila kukicha ni maandamano tu kuanzia jumatatu hadi ijumaa.Jamani hamasisheni vijana kufanya kazi na si kuandamana ilinkumfarhisha mwenyekiti wao na katibu
sawa Kikwete hajui kwanini sisi ni maskini lakini Nyerere,Mwinyi na Mkapa walijua sababu za Umaskini wetu kipi kiliwashinda kuondoa umaskini?
Mleta mada anza kutembea ukiwa umechomwa ganzi maana habari hii hawaipendi usalama wa wa huni aka wangoa ngucha bila ganzi sasa ili kuwa komoa tembea naganzi kabisa ukiona niaje niaje unajiwahi na ganzi....Ripoti ya benki ya dunia imeonyesha kuwa Tanzania pamoja na uwepo wa amani na kuwa ya pili kwa uchumi mkubwa ina idadi kubwa ya watu wanaoishi kwa umaskiini. Kwa mujibu wa ripoti hiyo, idadi ya wanaoishi kwa umaskini nchini uganda ni asilimia 38, Kenya ni asilimi a 43, Rwanda ni asilimia 63 na Tanzani a ni asilimia 68. Kwa mujibu wa ripiti hiyo eneo la kusini mwa jangwa la sahara liko nyumz katika kufikia mzlengo ya mileniia.
Ni nchi gani ambako hawaandamani ukiona maandamano yamezidi ujue dhuruma imezidi sana nchi hivyo hata maanandamao lazima yazidi.....hata hivyo tulikaa miaka migai bila maandamono ulifika wapi kimaendeleo..Ni lazima tuendelee kuwa maskini kwa maana hata hao wanaojiita wapambanaji hawana jipya kila kukicha ni maandamano tu kuanzia jumatatu hadi ijumaa.Jamani hamasisheni vijana kufanya kazi na si kuandamana ili kumfurahisha mwenyekiti wao na katibu wa cdm
Hata wakati wa Miaka 23 ya utawala uliotukuka na kuifanya Tanzania nchi ya Ujamaa na kujitegemea bado Tanzania ilishindwa kuzishinda kiuchumi Uganda na Kenya chini ya Iddi Amin Dadaa na Jomo Kenyata.
Hata wakati wa Miaka 23 ya utawala uliotukuka na kuifanya Tanzania nchi ya Ujamaa na kujitegemea bado Tanzania ilishindwa kuzishinda kiuchumi Uganda na Kenya chini ya Iddi Amin Dadaa na Jomo Kenyata.