Tanzania Yapanda katika Viwango vya Fifa -October

Tanzania Yapanda katika Viwango vya Fifa -October

Kipanga

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2008
Posts
676
Reaction score
38
Tanzania imepanda katika viwango vya soka vya Shirikisho la Dunia la Soka (FIFA) kwa mwezi wa Oktoba. Kwa mujibu wa tovuti ya Fifa Tanzania imepanda hadi nafasi ya 110 kutoka nafasi ya 117 mwezi wa September. Tanzania inategemewa kupambana na Sudan mwishoni mwa November katika mashindano ya Mataifa ya Afrika kwa wachezaji wanaocheza ligi za ndani. Sudani iko nafasi ya 106 kwa miezi yote miwili September na Oktoba.

Katika Top 10 kwa Oktoba ni:

1. Spain
2. Italy
3. Germany
4. Brazil
5. NetherLand
6. Croatia
7. Argentina
8. Cech Republic
9. Russia
10. Portugal

Kazi kwa Maximo na vijana wake kututoa kimasomaso!!
 
Mkishindwa kupanda basi mmemaintain at least. Kazeni buti.
 
Back
Top Bottom