Tanzania yapata mkopo wa nyongeza Dola Mil 153 kutoka shirika la fedha duniani (IMF)

Tanzania yapata mkopo wa nyongeza Dola Mil 153 kutoka shirika la fedha duniani (IMF)

Fortilo

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
5,807
Reaction score
17,416
Kwa Mujibu wa handle ya Twitter ya Tanzania Business Insight, Tanzania itapokea mkopo wa dharura na haraka wa $153M kwa ajili ya ku support budget yetu.

Katika marejeo ya Shirika hilo la fedha duniani, inaonekana Tanzania inafanya vizur licha ya changamoto kubwa za uchumi duniani .

Sasa swali?

Hivi kwel USD 153M ni hela ya kukopa IMF? Tunaweza pata ufafanuzi?

Pia, Soma=> Ufaransa yaipa Tanzania mkopo wa Tsh. Bilioni 361.7 kuzalisha umeme wa jua

Screenshot_20230425-152433_Twitter.jpg


 
Nikimtazama tu Samia anavyomsikiliza Mwigulu kwa makini kwenye hiyo picha, ndio naona chanzo kwanini tumeshapotea kama taifa.
 
Mkopo wa dharura wa haraka kwa ajili ya kusapoti budget yetu kivipi wakati mwaka wa fesha serikalini unaelekea kwisha?
Budget mpya si ndio inapikwa mkuu?
 
Na zenyewe zitapigwa tu na wachache
halafu kama kawa sisi
wanyonge tutazilipia kwenye tozo point.
 
Budget mpya si ndio inapikwa mkuu?
Unapika vipi ikiwa chakula cha mwanzo kimeshindwa kulika sasa kimegeuka kiporo, hicho kipya unachopika nacho si kitageuka kiporo vile vile?

Hatujielewi wala hatujui kitu gani tunafanya.
 
Back
Top Bottom