Bajeti zetu huwa zipo vitabuni tuMkopo wa dharura wa haraka kwa ajili ya kusapoti budget yetu kivipi wakati mwaka wa fesha serikalini unaelekea kwisha?
Unapika vipi ikiwa chakula cha mwanzo kimeshindwa kulika sasa kimegeuka kiporo, hicho kipya unachopika nacho si kitageuka kiporo vile vile?Budget mpya si ndio inapikwa mkuu?