Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
Ni ya 145 kwa ranking ya mwezi huu wa april 2012. Source
FIFA.com - The FIFA/Coca-Cola World Ranking - Ranking Table
FIFA.com - The FIFA/Coca-Cola World Ranking - Ranking Table
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bon Wambura katangaza kupitia RFA kuwa Poulsen hajui jinsi timu inavyopanda ranking ya FIFA, hivi huyu Babu anatufaa kwa lipi? Tangu aingie hapa nchini timu haijawahi kupanda nafasi yoyote zaidi ya kushuhudia mporomoko kila FIFA wakitoa ranking table. Heri ya Maximo aliyelaumiwa sana kuwaacha wachezaji wenye majina na kutumia vijana tulipanda hadi nafasi ndani ya 100 bora. TFF mfukuzeni Poulsen, tell him FINITO!
Bon Wambura katangaza kupitia RFA kuwa Poulsen hajui jinsi timu inavyopanda ranking ya FIFA, hivi huyu Babu anatufaa kwa lipi? Tangu aingie hapa nchini timu haijawahi kupanda nafasi yoyote zaidi ya kushuhudia mporomoko kila FIFA wakitoa ranking table. Heri ya Maximo aliyelaumiwa sana kuwaacha wachezaji wenye majina na kutumia vijana tulipanda hadi nafasi ndani ya 100 bora. TFF mfukuzeni Poulsen, tell him FINITO!