Tanzania yapunguza pakubwa gharama ya vibali vya kazi kwa wana EAC

Tanzania yapunguza pakubwa gharama ya vibali vya kazi kwa wana EAC

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kikao cha marais Uhuru na Magufuli kinazidi kuzaa matunda maana sasa Tanzania imeshusha gharama ya vibali vya kazi kutokea 202,000Kshs au Tshs 4,000,000 hadi Kshs 50,000 au Tshs 1,000,000
Hii ni hatua chanya na muhimu hususan kwa makampuni ya Tanzania ambayo hufuata wafanyi kazi wa kutokea nchi jirani. Maana wao ndio huingia gharama zote hizi. Unakuta kampuni inakulipia gharama ya usafiri, hoteli na pia vibali vya kazi. Hivyo nahisi makelele yatapungua pakubwa.

Kingine ambacho kimefurahisha ni gharama ya kufungua biashara Tanzania kwa watu wa EAC, pia imeshushwa pakubwa.
Hongereni kwa hilo, tutasija tu.
  • Tanzania has slashed residence permit fees to Sh50,500 from Sh202,000 for EAC citizens seeking to stay and work in the country.
  • President Uhuru Kenyatta last month asked Tanzania to waive the work permit charges and honour the EAC Heads of State deal that sanctioned free movement of people, goods, services and capital.
  • Kenya, Rwanda and Uganda have waived the work permit fees but Tanzania and Burundi are yet to ratify the deal.


Tanzania has ignored calls to scrap work permit fees for residents of the East African Community (EAC) and has instead cut the charges to Sh50,500 per year.

Dar cuts work permit fee for Kenyans to Sh50,500
 
Danganya toto hiyo mk254 hii nchi yetu tunaijua wenyewe sasa we jichanganye kama ujalipa mara tatu ya hela ya zamani
 
Danganya toto hiyo mk254 hii nchi yetu tunaijua wenyewe sasa we jichanganye kama ujalipa mara tatu ya hela ya zamani

Magufuli anaweza kuwa na mapungufu mengine, lakini kitu kimoja namsifia hana uwoga uwoga ambao tumezoea kuona kwa Watanzania. Anajiamini balaa, siku zote mliweka hizo gharama kisa mnawaogopa Wakenya, yeye kaamua liwalo na liwe ameshusha robo tatu aisei.
Kwanza kawaalika Wanyarwanda waboreshe TRA.

Nafikiri kitu anajaribu kufanya ni kuondoa uvivu, kwamba unakaa hapo unaogopa wasije wachapa kazi halafu wewe unataka ulindwe kwa gharama za kiajabu ajabu. Sasa yeye kaondoa hizo gharama na hatowalinda tena, hivyo nyanyuka piga kazi la sivyo washindani wanakuja na hutokua na pakukimbilia.

Hapo ulipo kimbilia evening classes, boresha bidii yako kazini, kuwa makini na time management na punctuality, misamiati kama milestones, deadlines, deliverables ikuingie na kuzingatia kwa makini maana wachapa kazi wanakuja kwa kasi utaikimbia nchi...hehehe natania tu...peace.
 
Mkuu this is a very strong message kwamba Yale mambo ya kufanya Kazi kwa mazoea kizembe kizembe kama tulivyozoea ndio yanaisha. Lazima tubadilike watanzania, hakuna namna.
 
Ni kitu kimoja kupunguza gharama ya kibali cha kazi, lakini ni swala lingine kwa kampuni huruhusiwa kuleta mtu wa nje kufanya kazi TZ. On the flip side, naipongeza serikali yangu kwa jinsi inavyojuwa kutafuta hela, sasa hivi wakenya watajazani humu na pesa zao mwisho wa siku tunalamba kodi tuu.
 
Magufuli anaweza kuwa na mapungufu mengine, lakini kitu kimoja namsifia hana uwoga uwoga ambao tumezoea kuona kwa Watanzania. Anajiamini balaa, siku zote mliweka hizo gharama kisa mnawaogopa Wakenya, yeye kaamua liwalo na liwe ameshusha robo tatu aisei.
Kwanza kawaalika Wanyarwanda waboreshe TRA.

Nafikiri kitu anajaribu kufanya ni kuondoa uvivu, kwamba unakaa hapo unaogopa wasije wachapa kazi halafu wewe unataka ulindwe kwa gharama za kiajabu ajabu. Sasa yeye kaondoa hizo gharama na hatowalinda tena, hivyo nyanyuka piga kazi la sivyo washindani wanakuja na hutokua na pakukimbilia.

Hapo ulipo kimbilia evening classes, boresha bidii yako kazini, kuwa makini na time management na punctuality, misamiati kama milestones, deadlines, deliverables ikuingie na kuzingatia kwa makini maana wachapa kazi wanakuja kwa kasi utaikimbia nchi...hehehe natania tu...peace.
Simlimsifia bwana misifa hadi kwenye uzinduzi jina lake mkaweka juu ya kenyata
 
Magufuli anaweza kuwa na mapungufu mengine, lakini kitu kimoja namsifia hana uwoga uwoga ambao tumezoea kuona kwa Watanzania. Anajiamini balaa, siku zote mliweka hizo gharama kisa mnawaogopa Wakenya, yeye kaamua liwalo na liwe ameshusha robo tatu aisei.
Kwanza kawaalika Wanyarwanda waboreshe TRA.

Nafikiri kitu anajaribu kufanya ni kuondoa uvivu, kwamba unakaa hapo unaogopa wasije wachapa kazi halafu wewe unataka ulindwe kwa gharama za kiajabu ajabu. Sasa yeye kaondoa hizo gharama na hatowalinda tena, hivyo nyanyuka piga kazi la sivyo washindani wanakuja na hutokua na pakukimbilia.

Hapo ulipo kimbilia evening classes, boresha bidii yako kazini, kuwa makini na time management na punctuality, misamiati kama milestones, deadlines, deliverables ikuingie na kuzingatia kwa makini maana wachapa kazi wanakuja kwa kasi utaikimbia nchi...hehehe natania tu...peace.
Hahahahaha let us see
 
Ni kitu kimoja kupunguza gharama ya kibali cha kazi, lakini ni swala lingine kwa kampuni huruhusiwa kuleta mtu wa nje kufanya kazi TZ. On the flip side, naipongeza serikali yangu kwa jinsi inavyojuwa kutafuta hela, sasa hivi wakenya watajazani humu na pesa zao mwisho wa siku tunalamba kodi tuu.

Kuna mambo naomba nikueleweshe ili tuwekane sawa.
- Gharama ya vibali vya kazi kwa Wakenya huwa inalipwa na kampuni za Tanzania, hivyo hiyo huwa hasara kwenye makampuni yenu na wawekezaji.
- Pamoja na kwamba gharama ilikua juu sana, lakini makampuni yenu hayakua na namna, yalikua yanaingia hizo gharama maana wao ndio walikua wanahitaji hao wageni kwa ajili ya uzalishaji na uchapa kazi.
- Sasa gharama zimeshushwa kwa kiasi kikubwa sana, maana mara nyingi wenye makampuni Tanzania walikua wanalalamika kwamba wanawahitaji hawa wageni lakini wanaingia gharama sana kuwatunza.
- Kingine nampa heko Magufuli, amepunguza urasimu sana, hapo mwanzo kupata hivi vibali ilikua shughuli, unawasilisha halafu unalazimika kufuata fuata. Unakuta jamaa amekaa na ombi lako ofisini hadi pale atakulamba hela ndio aachie. Leo hii Ukiwasilisha, ilmradi unalipia basi.
 
Why would i pay 50k to work from Tanzania while i have the option of Uganda Rwanda and South Sudan?
 
Why would i pay 50k to work from Tanzania while i have the option of Uganda Rwanda and South Sudan?

But why are you people failing to understand the concept here, kwani are you the one paying. Anyway I don't know about others, but I have always known, the company in need of your services is the one that pays the cost of these documents.

Ofcourse it's free in those other mentioned countries, but if a company in Tanzania calls you and agrees to meet those costs on top of better remunerations, why would you object.
 
Magufuli anaweza kuwa na mapungufu mengine, lakini kitu kimoja namsifia hana uwoga uwoga ambao tumezoea kuona kwa Watanzania. Anajiamini balaa, siku zote mliweka hizo gharama kisa mnawaogopa Wakenya, yeye kaamua liwalo na liwe ameshusha robo tatu aisei.
Kwanza kawaalika Wanyarwanda waboreshe TRA.

Nafikiri kitu anajaribu kufanya ni kuondoa uvivu, kwamba unakaa hapo unaogopa wasije wachapa kazi halafu wewe unataka ulindwe kwa gharama za kiajabu ajabu. Sasa yeye kaondoa hizo gharama na hatowalinda tena, hivyo nyanyuka piga kazi la sivyo washindani wanakuja na hutokua na pakukimbilia.

Hapo ulipo kimbilia evening classes, boresha bidii yako kazini, kuwa makini na time management na punctuality, misamiati kama milestones, deadlines, deliverables ikuingie na kuzingatia kwa makini maana wachapa kazi wanakuja kwa kasi utaikimbia nchi...hehehe natania tu...peace.
Respect brother, this is what all Tanzanians should know, to become better at whatever they are doing in every sector, kudos amigo...
 
Kuna mambo naomba nikueleweshe ili tuwekane sawa.
- Gharama ya vibali vya kazi kwa Wakenya huwa inalipwa na kampuni za Tanzania, hivyo hiyo huwa hasara kwenye makampuni yenu na wawekezaji.
- Pamoja na kwamba gharama ilikua juu sana, lakini makampuni yenu hayakua na namna, yalikua yanaingia hizo gharama maana wao ndio walikua wanahitaji hao wageni kwa ajili ya uzalishaji na uchapa kazi.
- Sasa gharama zimeshushwa kwa kiasi kikubwa sana, maana mara nyingi wenye makampuni Tanzania walikua wanalalamika kwamba wanawahitaji hawa wageni lakini wanaingia gharama sana kuwatunza.
- Kingine nampa heko Magufuli, amepunguza urasimu sana, hapo mwanzo kupata hivi vibali ilikua shughuli, unawasilisha halafu unalazimika kufuata fuata. Unakuta jamaa amekaa na ombi lako ofisini hadi pale atakulamba hela ndio aachie. Leo hii Ukiwasilisha, ilmradi unalipia basi.
Mk245, mimi sikatai makampuni yako radhi kulipia vibali kwa watu ili wapate watu watakao weza kuendesha biashara ya vizuri. Lakini ukumbuke serikali ya Tz imesikiliza vilio vingi vya wafanyakazi wa tz kwamba uhamiaji na wizara ya kazi wamekuwa wanatowa vibali kirahisi na mara nyingine kwa watu wasio na sifa. Ndio maana nikasema immigration wanaweza kupunguza viwango vya kulipia ada, lakini makampuni yakakuta wizara ya kazi inawabana ili wa prove kama waneshindwa kupata mtz kufanya kazi hiyo. Haya ndio yaliyo mkuta Dangote na kiwanda chake cha simeti, pamoja na Mo Dewji. Walikutwa wahingi na wapakistan huko wamejaa na wanavibali wanafanya kazi ambazo watz waneza kufanya. Nielwe, I'm not against anyone who is qualified to work in tz lakini kuwe na utaratibu unaoekeweka japokuwa unaimbaga sana humu JF kwamba sisi watanzania ni wavivu, kitu ambacho sio kweli na ni generation iliyoota mizizi.
 
Mk245, mimi sikatai makampuni yako radhi kulipia vibali kwa watu ili wapate watu watakao weza kuendesha biashara ya vizuri. Lakini ukumbuke serikali ya Tz imesikiliza vilio vingi vya wafanyakazi wa tz kwamba uhamiaji na wizara ya kazi wamekuwa wanatowa vibali kirahisi na mara nyingine kwa watu wasio na sifa. Ndio maana nikasema immigration wanaweza kupunguza viwango vya kulipia ada, lakini makampuni yakakuta wizara ya kazi inawabana ili wa prove kama waneshindwa kupata mtz kufanya kazi hiyo. Haya ndio yaliyo mkuta Dangote na kiwanda chake cha simeti, pamoja na Mo Dewji. Walikutwa wahingi na wapakistan huko wamejaa na wanavibali wanafanya kazi ambazo watz waneza kufanya. Nielwe, I'm not against anyone who is qualified to work in tz lakini kuwe na utaratibu unaoekeweka japokuwa unaimbaga sana humu JF kwamba sisi watanzania ni wavivu, kitu ambacho sio kweli na ni generation iliyoota mizizi.

Mimi nakuelewa tena vizuri, japo kile hunielewi ni kwamba urasimu wa kubaini kama mgeni ana sifa ulikuwepo tu siku zote. Na kwamba wakati gharama zilikua juu sana, ililazimu makampuni yenu kuhakikisha wamesaka na kuhakikisha kweli hamna Watanzania wenye uwezo huo au kama wapo ni wachache kiasi kwamba waamue kuingia hizo gharama kubwa kubwa za kuwaleta wageni.

Hamna mwajiri mwenye akili zake atamlipia mgeni mbeba mabox gharama nzito wakati wapo mamilioni ya Watanzania wenye uwezo huo. Ilikua lazima viongozi wa makampuni wawaze na kuwazua kwanini waingie gharama kubwa ya kumtafuta mgeni. Nenda kule Zanzibar, niliona hoteli nyingi zina meneja Wakenya. Kuna sababu muhimu iliwalazimu wawalipie hao Wakenya.

Sasa kuna wakati kampuni za Tanzania ziliwahitaji wageni zaidi lakini gharama ilikua juu sana, inabidi wanaishia na watu wachache. Lakini kwa gharama kushushwa kiasi hiki, yaani kwa milioni nne unaweza ukaishi na Wakenya wanne bila kuvurugwa na uhamiaji, wakati hizo milioni nne zilikua za Mkenya mmoja hapo awali.

Hivyo kwa kifupi, hayo ya kubaini sifa za mgeni yapo na hayawezi yakabadilishwa, pia mimi siungi mkono kwamba Mkenya asiyekua na sifa aje, kwani mtamlipa shilingi ngapi ikiwa hata usafiri na gharama za mahoteli ni noma.
 
Mimi nakuelewa tena vizuri, japo kile hunielewi ni kwamba urasimu wa kubaini kama mgeni ana sifa ulikuwepo tu siku zote. Na kwamba wakati gharama zilikua juu sana, ililazimu makampuni yenu kuhakikisha wamesaka na kuhakikisha kweli hamna Watanzania wenye uwezo huo au kama wapo ni wachache kiasi kwamba waamue kuingia hizo gharama kubwa kubwa za kuwaleta wageni.

Hamna mwajiri mwenye akili zake atamlipia mgeni mbeba mabox gharama nzito wakati wapo mamilioni ya Watanzania wenye uwezo huo. Ilikua lazima viongozi wa makampuni wawaze na kuwazua kwanini waingie gharama kubwa ya kumtafuta mgeni. Nenda kule Zanzibar, niliona hoteli nyingi zina meneja Wakenya. Kuna sababu muhimu iliwalazimu wawalipie hao Wakenya.

Sasa kuna wakati kampuni za Tanzania ziliwahitaji wageni zaidi lakini gharama ilikua juu sana, inabidi wanaishia na watu wachache. Lakini kwa gharama kushushwa kiasi hiki, yaani kwa milioni nne unaweza ukaishi na Wakenya wanne bila kuvurugwa na uhamiaji, wakati hizo milioni nne zilikua za Mkenya mmoja hapo awali.

Hivyo kwa kifupi, hayo ya kubaini sifa za mgeni yapo na hayawezi yakabadilishwa, pia mimi siungi mkono kwamba Mkenya asiyekua na sifa aje, kwani mtamlipa shilingi ngapi ikiwa hata usafiri na gharama za mahoteli ni noma.
Miaka ya nyuma makampuni mengi yalikurupukia kuja kufunguwa biashara tz bila kulielwa soko likoje. Moja ya matatizo waliokuitana nayo ni luck of communication skills, kiswahili kilikuwa shida, pamoja na mambo mengine hilo lilikuwa tatizo kubwa. Kilicho waokowa ni kuajiri majirani zetu kwasababu wao walikuwa wanauwezo wa ku-commucate both sides. Sheria zikikuwepo lakini hazikufatiliwa, serikali ilijuwa tatizo hilo lakini ili kaa kimya. Kwa mbio hizi za JPM sidhani kama itakuwa kama zamani ukichukulia tunatoa graduate's 900,000 kila mwaka and rising, lazima sheria zitaanza kufatiliwa. Na sina maana ya kuwafukuza wageni au kumyima mtu halali kazi bali kutoa fursa kwa watz pia.
 
Back
Top Bottom