beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,880
- 6,368
Serikali imesema kuanzia Machi 5, 2022 - Aprili 3, 2022 Visa vipya 116 vya Corona vilithibitishwa kati ya watu 25,890 waliopimwa. Jumla ya Visa vya Ugonjwa huo tangu kuripotiwa kwake Machi 2020 hadi Aprili 3, 2022 ni 33,842 huku vifo vikiwa 803.
Katika taarifa yake, Wizara ya Afya imesema kati ya Machi 05, 2022 hadi Aprili 03, 2022, wagonjwa wapya 22 walilazwa. Aidha, imeelezwa Dar es Salaam imeendelea kuwa na idadi kubwa ya watu wenye maambukizi.
Tangu kuzinduliwa Kampeni ya Chanjo mpaka kufikia Aprili 03, 2022, watu 3,318,374 walikuwa wamepata dozi kamili.
TAARIFA YA WIZARA:
Katika taarifa yake, Wizara ya Afya imesema kati ya Machi 05, 2022 hadi Aprili 03, 2022, wagonjwa wapya 22 walilazwa. Aidha, imeelezwa Dar es Salaam imeendelea kuwa na idadi kubwa ya watu wenye maambukizi.
Tangu kuzinduliwa Kampeni ya Chanjo mpaka kufikia Aprili 03, 2022, watu 3,318,374 walikuwa wamepata dozi kamili.
TAARIFA YA WIZARA: