Mtoa Taarifa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2024
- 213
- 671
Serikali ya Tanzania kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC) na nchi ya Burundi leo Januari 29, 2025 zimesaini mkataba wa ujenzi wa Reli ya Kisasa ya SGR yenye urefu wa kilomita 282 kutoka Uvinza mkoani Kigoma hadi Musongati nchini Burundi.
Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa kwa upande wa Tanzania na Waziri wa Miundombinu wa Burundi, Kapteni Dieudonne Dukundane, wamesaini mkataba huo jijini Dar es Salaam ambao utagharimu shilingi Trilioni 5.6.
Ujenzi wa reli hiyo ya kisasa unatarajiwa kuwa kichocheo kikubwa cha shughuli za kiuchumi na kijamii baina ya nchi zote mbili.
Mkurugenzi Mkuu wa TRC, Masanja Kadogosa kwa upande wa Tanzania na Waziri wa Miundombinu wa Burundi, Kapteni Dieudonne Dukundane, wamesaini mkataba huo jijini Dar es Salaam ambao utagharimu shilingi Trilioni 5.6.
Ujenzi wa reli hiyo ya kisasa unatarajiwa kuwa kichocheo kikubwa cha shughuli za kiuchumi na kijamii baina ya nchi zote mbili.