Tanzania yashinda TUZO 3 AFRIMA Nigeria, Alikiba na Nandy ndio Washindi

Nandy ndio msanii gani tena?


Kweli nimekuwa mhenga, yaan msanii anaanza kuimba hadi akachukua tuzo ila mie sjawah sikia wimbo wake duh!
Wasikudanganye, baby one day... Ni msanii WA clouds media...... Wazee wa Promo japo anajua
 
Aiseee
huu upande umepoa sana kama ujachukua tuzo

Aseee ingekua mtaa wa pili kule hapa mjini pasingekalika
 
Alikiba ana Mkosi gani? Watu hawajui hata kama tuzo zimetolewa na Alikiba kashinda watu wapo bzy wanapambana na hukumu ya Lulu
 
Aiseee
huu upande umepoa sana kama ujachukua tuzo

Aseee ingekua mtaa wa pili kule hapa mjini pasingekalika
Nahisi upande ule kwao tunzo ishakuw jambo la kawaida sana.....uku bado hawajzoea.....but all in all hongereni maana siyo kwa kukesha kule.......ingekuwa kapata tunzo tatu kama domo mwaka ingependeza zaidi.
 
Nahisi upande ule kwao tunzo ishakuw jambo la kawaida sana.....uku bado hawajzoea.....but all in all hongereni maana siyo kwa kukesha kule.......ingekuwa kapata tunzo tatu kama domo mwaka ingependeza zaidi.
Domo amepata ngapi?
 
Ingekuwa Diamond pages zingeshafika hata 20.. leo.

Hongera kwao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…