Tanzania yasisitiza haitaki mkataba wa EPA, Kenya na Rwanda kuendeleza na EPA.

Tanzania yasisitiza haitaki mkataba wa EPA, Kenya na Rwanda kuendeleza na EPA.

joto la jiwe

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2017
Posts
26,117
Reaction score
46,617


Huu mtanange utaishia wapi, je ndio mwanzo wa kusambaratika kwa EAC?, kama vipi tulivunje hili "JAHAZI" ili tugawane mbao kila nchi itokomee kusiko julikana, ama namna gani wajameni?
 
Sarafu hata ikiwepo lkn hela yetu itabakia pale pale...
Tumeshawagundua..mnataka kuzitupa hela zenu za madafu manke mmejaribu kila kitu lkn thamani yake inazidi kupungua
Kenya na Rwanda, ndio wanaoirudisha nyuma EAC, itakua ngumu kuingia kwenye federation, kutumia sarafu moja na free visa, kwa huu unafki na kujipendekeza, mbona wajiamini hawa watu
 
Kila nchi itabaki na sarafu yake, je sarafu ya yenu utakua na nguvu dhidi ya EAC, mtabadilisha mipakani mje kununua chakula msife na utapiamlo
Sarafu hata ikiwepo lkn hela yetu itabakia pale pale...
Tumeshawagundua..mnataka kuzitupa hela zenu za madafu manke mmejaribu kila kitu lkn thamani yake inazidi kupungua
U
 
Kwa wale wakenya wanaojisifu oo sisi ni middle income sijui Tanzania ni ldc, sijui hvi na vile, mskilizeni vizur dr mumbi kaelezea vizur hilo swala kuwa wakenya mnakiherehere kwenye kila kitu just bcoz mnataka title ya kuwa middle sh*t wakati there us alot to do to reach that level, hapo ndo nimeamin kuwa kenya ni ldc but hyo title yao wameshikilia tu coz ya kiherehere cha wazungu, msikilizeni huyo mama jamn kawapga madongo wakenya wenzie kama akina NICXIE na shiga ake MK254. Thats not me, i beg you plz msikilizeni atawafumbua mimacho yenu na miubongo yenu ilojaa kinyesi
 
In reality wakenya ni ldc like tz, but kwenye makaratasi ndo mmetuzidi, mnashoboka na viherehere kwa wazungu hovyo hvyo ili muwe juu yetu ahahaha, naomba uskilize huyo dokta mkenya mwenzio mwenye akili. Atleast ataondoa hko kinyesi kwe ubongo wako.
Sarafu hata ikiwepo lkn hela yetu itabakia pale pale...
Tumeshawagundua..mnataka kuzitupa hela zenu za madafu manke mmejaribu kila kitu lkn thamani yake inazidi kupungua
 
In reality wakenya ni ldc like tz, but kwenye makaratasi ndo mmetuzidi, mnashoboka na viherehere kwa wazungu hovyo hvyo ili muwe juu yetu ahahaha, naomba uskilize huyo dokta mkenya mwenzio mwenye akili. Atleast ataondoa hko kinyesi kwe ubongo wako.
Wakenya hawampendi mtu anaewaambia ukweli 😂😂😂 Ukiwaambia ukweli wanakuona una chuki 😂😂😂
 
Basi km ni hvo...nyumbu wote wanaakili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]manake kw kumsifia uhuru kenyatta...wako vizuri..

In reality wakenya ni ldc like tz, but kwenye makaratasi ndo mmetuzidi, mnashoboka na viherehere kwa wazungu hovyo hvyo ili muwe juu yetu ahahaha, naomba uskilize huyo dokta mkenya mwenzio mwenye akili. Atleast ataondoa hko kinyesi kwe ubongo wako.
 
Mumbi walai kawaingiza mkenge...mwnyewe ana Vlog yake, na km ni views keshazipata...

Nynyi msizinduke...enedeleeni kunga na wale kupinga hadi yesu arudi...manake mida mingine unakuta mtu anaunga ujinga kabisa hku naye yule anapinga kitu ambacho kina manufaa katika jamii...

WATANZANIA AMKENI
Kwa wale wakenya wanaojisifu oo sisi ni middle income sijui Tanzania ni ldc, sijui hvi na vile, mskilizeni vizur dr mumbi kaelezea vizur hilo swala kuwa wakenya mnakiherehere kwenye kila kitu just bcoz mnataka title ya kuwa middle sh*t wakati there us alot to do to reach that level, hapo ndo nimeamin kuwa kenya ni ldc but hyo title yao wameshikilia tu coz ya kiherehere cha wazungu, msikilizeni huyo mama jamn kawapga madongo wakenya wenzie kama akina NICXIE na shiga ake MK254. Thats not me, i beg you plz msikilizeni atawafumbua mimacho yenu na miubongo yenu ilojaa kinyesi
 
Sijaanza leo kusoma comments...yale ni maoni yao, na kila mtu ana uhuru wa kujieleza...mbna hta mambele tu wanazipaka serikali zao mpka utafikiria tuko sawa kimaendeleo...
Kumbe maoni tu!!
Soma comments hapo chini ya hiyo video, ndio utajua thamani ya nchi yenu duniani ilivyo.
 
Mumbi walai kawaingiza mkenge...mwnyewe ana Vlog yake, na km ni views keshazipata...

Nynyi msizinduke...enedeleeni kunga na wale kupinga hadi yesu arudi...manake mida mingine unakuta mtu anaunga ujinga kabisa hku naye yule anapinga kitu ambacho kina manufaa katika jamii...

WATANZANIA AMKENI
What's wrong with a sister finessing her viewers? The very fact that she's woke and informs others about Africa, trumps everything.
 
Endeleeni kuunga na kupinga tu...msiamke
What's wrong with a sister finessing her viewers? The very fact that she's woke and informs others about Africa, trumps everything.
 
Huu mkataba haufai nchi masikini.
 
Back
Top Bottom