RIPOTI ya kwanza ya mwaka 2019 ya Mpango wa Afrika wa Kujitathmini Kiutawala bora APRM umebaini Tanzania kufanya vizuri kwenye suala la ulinzi na usalama mambo ambayo yametajwa na ripoti hiyo kuwa yamekuwepo tangu kupata uhuru.
Ripoti hiyo imeipongeza Tanzania katika kusimamia misingi ya haki za binadamu, usalama wa nchi, ukuaji wa uchumi, matumizi ya lugha ya Kiswahili pamoja na kudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa zaidi ya miaka 50 mpaka sasa.
Akizungumza mara baada ya kuwasilisha mada kwenye mkutano wa kitaifa kuhusu ripoti ya Tanzania ya mwaka 2019, Mwenyekiti wa Bodi ya APRM Tawi la Tanzania, Profesa Hasa Mlawa amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizofanya vizuri katika usimamizi wa utawala bora kati ya nchi za Afrika ambazo ni wanachama wa mpango huo
Ripoti hiyo imeipongeza Tanzania katika kusimamia misingi ya haki za binadamu, usalama wa nchi, ukuaji wa uchumi, matumizi ya lugha ya Kiswahili pamoja na kudumisha Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa zaidi ya miaka 50 mpaka sasa.
Akizungumza mara baada ya kuwasilisha mada kwenye mkutano wa kitaifa kuhusu ripoti ya Tanzania ya mwaka 2019, Mwenyekiti wa Bodi ya APRM Tawi la Tanzania, Profesa Hasa Mlawa amesema Tanzania ni miongoni mwa nchi zilizofanya vizuri katika usimamizi wa utawala bora kati ya nchi za Afrika ambazo ni wanachama wa mpango huo