Beira Boy
JF-Expert Member
- Aug 7, 2016
- 19,976
- 32,195
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana
Usiku wa jana palikuwa na tuzo za dunia huko uingeleza london
Wasanii kutoka afrika walikuwa wanashindania tuzo mbili ambazo ni kipengere cha msanii bora wa afica na msanii wa kimataifa kutoka africa
Hapa kulikuwa hakuna kipengere cha msanii bora east africa au west africa
Tambua tanzania huwa tunashinda kwa kipengere cha east africa ambazo huwa anabeba dimond au kiba
Msanii bora wa africa ameshinda david obio DAVIDO
msanii wa kimataifa ameshinda ibraham adelej dad yooo WIZKID
Huku tanzania tukiangukia pua
Wito tanzania tujipange ipo siku nas tutawapiku wanaigeria
LONDON BABY
Usiku wa jana palikuwa na tuzo za dunia huko uingeleza london
Wasanii kutoka afrika walikuwa wanashindania tuzo mbili ambazo ni kipengere cha msanii bora wa afica na msanii wa kimataifa kutoka africa
Hapa kulikuwa hakuna kipengere cha msanii bora east africa au west africa
Tambua tanzania huwa tunashinda kwa kipengere cha east africa ambazo huwa anabeba dimond au kiba
Msanii bora wa africa ameshinda david obio DAVIDO
msanii wa kimataifa ameshinda ibraham adelej dad yooo WIZKID
Huku tanzania tukiangukia pua
Wito tanzania tujipange ipo siku nas tutawapiku wanaigeria
LONDON BABY