Kwani sisi tupo ulaya kusini?! Kama tupo Africa then kipengele cha kushindaniwa kilikuwepo.Sasa wanatokaje kapa wakati hakukua na kipengele cha east africa au ndo hauna shule mkuu?
Kwahiyo unataka kusema ile ya Mond ya MTV MAMA, kisha Mondi & Kiba zile za MTV EMA zilikuwa ni kipengele cha East Africa?!Hapa kulikuwa hakuna kipengere cha msanii bora east africa au west africa
Tambua tanzania huwa tunashinda kwa kipengere cha east africa ambazo huwa anabeba dimond au kiba