Siku ya jana katika maazimisho ya siku ya uhuru waziri wa habari na mawasiliano alifanikiwa kuzindua internet yenye kasi zaidi katika kilele cha Mlima kilimanjaro chenye urefu wa mita 5,895kutoka usawa wa bahari.
Huduma hii ya internet ni sehemu ya kuifungua zaidi Tanzania katika Nyanja za utalii ambapo watalii kutoka katika mataifa mbalimbali sasa wanaweza kupata huduma ya internet yenye kasi zaidi.
Kutokana na kufanikiwa kuwepo kw ainterneti katika mlima kilimanjaro Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kusimika huduma ya internet katika kilele kirefu zaidi barani afrika.
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuimarisha na kuboresha utalii Tanzania maana utalii ni moja kati ya sekta inayochangia kwa kiasi kikubwa pato la Taifa.
Huduma hii ya internet ni sehemu ya kuifungua zaidi Tanzania katika Nyanja za utalii ambapo watalii kutoka katika mataifa mbalimbali sasa wanaweza kupata huduma ya internet yenye kasi zaidi.
Kutokana na kufanikiwa kuwepo kw ainterneti katika mlima kilimanjaro Tanzania itakuwa nchi ya kwanza kusimika huduma ya internet katika kilele kirefu zaidi barani afrika.
Serikali ya awamu ya sita chini ya Rais Samia Suluhu inaendelea kuimarisha na kuboresha utalii Tanzania maana utalii ni moja kati ya sekta inayochangia kwa kiasi kikubwa pato la Taifa.