Tanzania yenye vipaji vingi vinavopotea

ZionTZ

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2009
Posts
1,283
Reaction score
541
Nchi yetu imejaliwa vipaji vingi mno sema vinapotea kutokana na kutokua na mikakati iliyothabiti, tizama mwenyewe af angalia mazingira ya hichi kipaji.

 
Hiki kipaji kinawakilisha vipaji vingi vilivyo chini ya kapeti hapa bongo.
Aisee samatta toka Mbagala mpaka Ulaya.
Big up sana kwa kutumia fursa.
 
Mbona sio bongo hapo Mkuu..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…