Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

R.I.P the Great,huyo mwanamke atafutwe na afikishwe kwenye vyombo vya sheria,Imetugusa sana wadau the Late Kanumba.
 
nimeumizwa san tena sana na kifo cha kanumba. Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.
 
Ngoja tusubiri magazeti ya udaku uwazi, kiu, ijumaa, risasi wataichambua habari vizuri kabisa.
 
Yule nguli katika tasnia ya uigizaji nchini maarufu kama STEPHEN KANUMBA amefariki dunia usiku wa kuakia jumamosi ya leo.Kifo chake ni cha ghafla na bado hakijathibitishwa rasmi.source TBC habari asubuhi hii.
 
mkuu! Hakuna kuomba hapa, kifo chake kama inasemekana, 7bu ni mapenzi, while huyu lulu c mke wake. Mungu wa kweli hana muda wakusikiliza kelele. Infact, tasnia ya filamu ni 1 ya kitengo cha shetani.! Sorry huo ndo ukweli

Kuwa muungwana au kwasababu sio ndugu yako.R.I.P KANUMBA.
 
I believe in all happenings there is a reason before god. May your soul kanumba rest in god's joy forever.
 

hata huku USWAZ WANAONGEA ABT THAT!kuhusu hiz Dady
 
si ndo yule aliyekuwa anacheka kicheko cha kulazimisha kwenye tangazo la startimes?rip
 
Mchango mzuri katika tasnia ya fiamu Tanzania - "The Great" jina muafaka... Kutoka kwa akina mzee Jangala & Kipara na magwiji wengineo Kijana alijaribu na Mchango wake umeleta mabadiliko, kwa kuzingatia Kiwango chahe cha elimu alijaribu.

Yake yamekwisha kazi kwa tuliobaki kuweka sawa Uhusiano wetu na Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…