CCM hao...si alitangaza nia ya kugombea ubunge Shinyanga??...Na lazima angegombea kupitia CDM.RIP Kanumba.
Kafa lini tena
si mlisema ni MasonFree
mara Msukule wa kisukumamakaburi msiyafukue kwani sasa hivi Mama Kanumba kuna clip inatembea anamlaum tena Steve nyerere baada ya kumaliza ya Lulu
mm sipendagi vijambo visivyoisha ili kutafuta kick
Miaka 6 baada ya kifo chako, Bongo Movie ni kama imekufa.
Pumzika kwa amani Bro.