Kifurukutu
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 4,641
- 6,694
Kwanini wasikubaliNimekaa saana Kenya..zaidi ya miaka 30
Nawashauri Doctors wetu wasikubali.
Utaifa kwanza......waimarishe nyumbani baadae ndio njeKwanini wasikubali
Nikajua utakuja na sababu hapa za maana, ingekuwa utaifa kwanza wewe umekaa huko kufanya nini miaka yoteUtaifa kwanza......waimarishe nyumbani baadae ndio nje
Umeishi Kenya for 30yrs, kwa hivyo kisheria, wewe ni raia wa Kenya.Utaifa kwanza......waimarishe nyumbani baadae ndio nje
Nilizaliwa huko..nikasoma huko...nikarudi nyumbaniNikajua utakuja na sababu hapa za maana, ingekuwa utaifa kwanza wewe umekaa huko kufanya nini miaka yote
Tanzania has the best doctors and morals!Thank God Tanzanians said no, Kenyan government has to deal with its problems head on, Kenya has the best doctors no doubt let's keep it that way
Waimarishe nyumbani ukiwa na maana waendelee kutoa mimba za mabinti mitaani au.....??Utaifa kwanza......waimarishe nyumbani baadae ndio nje
wewe ni mkenyaNilizaliwa huko..nikasoma huko...nikarudi nyumbani
kinacho niudhi zaidi ni kuwa anaifanyisha kuonekana huu ni mgomo wa pesa tu. Ana ignore 90% of CBA anaangazia mshahara ya madaktari tu.True that... When Kenya is Ranked the 157th most Corrupt Country in the world; Hata president Heshima zake aokote kwa choo....
Nikajua utakuja na sababu hapa za maana, ingekuwa utaifa kwanza wewe umekaa huko kufanya nini miaka yote
Wakauawa na nani Kenya ni sehemu salama na tunaijua kuliko hata nyie wakenya. Wako Madaktari kibao Mogadishu,Kismayo Juba wasiuawe waje wauwawe KajiadoMkuu tumia akili ndogo tu Ku reason hapa. Kama Tanzanian's drs watakubali maana ake kuba uwezekano mkubwa kuuwawa ndo maana MAT imesema mpaka mgogoro wao uishe. Mmesoma shule gani nyinyi?
Wacha kukurupuka sio kila mtu anayechangia hapa ni Mkenya. Huyo uliyemjibu ni Mtanzania mwenzio.Wakauawa na nani Kenya ni sehemu salama na tunaijua kuliko hata nyie wakenya. Wako Madaktari kibao Mogadishu,Kismayo Juba wasiuawe waje wauwawe Kajiado