Tanzanian drug trafficker in DCI(Kenya) custody emits 69 pellets of narcotics

Duh halafu jamaa alikua amezindika humo humo kwenye Tigo.... WaTz bana
Washamba sana nyie, huwa wanazimeza, haipaswi kula kitu zaidi water, ukifika final destination unaenda kuzikunya pamoja na mavi, unazitenga unaenda ziuza.
Hao wafanyayo hayo, huitwa mules.
 
Washamba sana nyie, huwa wanazimeza, haipaswi kula kitu zaidi water, ukifika final destination unaenda kuzikunya pamoja na mavi, unazitenga unaenda ziuza.
Hao wafanyayo hayo, huitwa mules.

Dah haka kamchezo naona unakafahamu ipasavyo, afu nakumbuka niliskia sababu za Wachina kuruhusiwa kuitafuna nchi yenu watakavyo ni baada ya pale walimkamata prince wenu mmoja.
 


Huyu anyongwe tu....nia yake haikuwa nzuri kwa Wakenya.
 
Umeenda mbali, ingekuwa ni mkenya amenaswa Tz kwa chuki na paranoia zenu mngesema ametumwa na serikali ya Kenya kuihujumu serikali ya donor country na vijana wake. Tena mngemlimbikizia kabisa na tuhuma za ujasusi pia. 😀
hahaha, eti donor country. Huendi mbinguni wewe
 
Dah haka kamchezo naona unakafahamu ipasavyo, afu nakumbuka niliskia sababu za Wachina kuruhusiwa kuitafuna nchi yenu watakavyo ni baada ya pale walimkamata prince wenu mmoja.
Hizo wala usiziamini kihivyo, wabongo bingwa kwenye kupakana matope ya uongo.
 
Tanzanian foreign embassy has been very clear, you are caught in illigal business in another country, you are on your own
Wawili wamekamatwa Leo na bangi.
Yaani mkikuyu mmeamua kuwaleta beggars, witchdocs, drug dealers & people with mental disorders Kenya?wanakimbia sababu ya ufukara huko tz
 
Wawili wamekamatwa Leo na bangi.
Yaani mkikuyu mmeamua kuwaleta beggars, witchdocs, drug dealers & people with mental disorders Kenya?wanakimbia sababu ya ufukara huko tz
Madam, There is no need to quote my messages, I normaly do not reply to you because I cant understand how you as a lady lives in such a state of constant bile and envy.
No matter how many times you quote me, you cannot change my mind that Uhuru is an incompetent drunkard who has rundown kenya with tribalisim, situpidity and corruption
 
Si lazima uninukuu .Na sijui Uhuru ameingililia wapi hapa. I am not even his supporter & sijui alikufanyIa nini na wewe ni mbongoLALA.You r the envious one. Block me
You are not a Kenyan. Chunga sana usipate maradhi ya moyo ukiwaza jubilee .,[Uhuru
 
Watu wa hivyo ni kujifanya kama hamkuona kitu halafu akipanda ndege kwenda China ndio mnawataarifu huko kuwa kuna mizigo inakuja.




Sent from my SM using Tapatalk
 
Si lazima uninukuu .Na sijui Uhuru ameingililia wapi hapa. I am not even his supporter & sijui alikufanyIa nini na wewe ni mbongoLALA.You r the envious one. Block me
You are not a Kenyan. Chunga sana usipate maradhi ya moyo ukiwaza jubilee .,[Uhuru
Then please leave me alone, usijisononeshe na mtazamo wangu wa kisiasa..Whether am kenyan or tanzanian is not your problem. Jipe shughuli madam, very strange for a lady to be soo bitter with a foreign country..Get a life
 
Umeenda mbali, ingekuwa ni mkenya amenaswa Tz kwa chuki na paranoia zenu mngesema ametumwa na serikali ya Kenya kuihujumu serikali ya donor country na vijana wake. Tena mngemlimbikizia kabisa na tuhuma za ujasusi pia. 😀
nani afanye ujasusi Tanzania? kenya?kenya? hahahahahahahaha
 
Then please leave me alone, usijisononeshe na mtazamo wangu wa kisiasa..Whether am kenyan or tanzanian is not your problem. Jipe shughuli madam, very strange for a lady to be soo bitter with a foreign country..Get a life
I am laughing uncontrollably right now.
Eti bitter? Never !it's you because you criticize everything, be it politics, sports, business where Kenya is featured and you've never given any credit. Just accept who you are, a Tanzanian. No one will crucify you. Anyways if you think I am bothering you by quoting you then I'll just leave you alone kama ulivyosema.But I will continue quoting you whenever I feel like.
 
Haya basi am Tanzanian,There is nothing to be ashamed of a country with diligent leadership. Jipe shughuli bana.. Olewa oata watoto wacha kushinda JF na pumba za kishenzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…