Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
naona sura wanafanana tuhuyo Diana angetulia tu...
Miss Kenya level nyingine kabisa na yeye....
Kwenye video zake inonyesha ako shy kweli! Hana confidence hata kidogo!Huyu binti miss tz haikuwa inafanana nae angepaswa ashiriki miss utamaduni
Akina Lundenga wawapishe watu wengine sasa
Dah... Mbona aliisha Sema Anzisheni ya kwenu banaLundenga lundenga uta staaf lini tumechoka
Achana na binti yetu wa kimasai, atakuiti kaka zake Masai worrios wakuchakaze [emoji23] [emoji23] [emoji23]View attachment 461171 View attachment 461172 View attachment 461173 Nilikuwa nikichekicheki Diana Edward, Wajua hata mimi ni Edward, haiwi vigumu kumchumbia kwa huo urari wa majina. Ila ni moja tu, yaahi tuseme huyu binti pia yumo kwenye group ya wanaojichubua ngozi kama ilivyo Vera??
Hahahahaha! Najua bana samahani! Sirudii tena!😀😀😀😀Achana na binti yetu wa kimasai, atakuiti kaka zake Masai worrios wakuchakaze [emoji23] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Hahahahaha! Najua bana samahani! Sirudii tena!😀😀😀😀
Kweli ushamba haujakutoka hivi uzuri wa huyo msichana uko wapi .hivo vi mashavu au hizo twende kilioni zimekuchanganya .Alaaaah!!!!Kuna mtu hapa alikuwa anajaribu kusema eti mademu wa kikenya weusi na si wazuri Natak mjue, Kenya mademu wao Tanzania haiwapati!! Noma kweli, cheki huyu askari hapa! Utakubali makosa yote!!
![]()
Wanjala be serious bana, huyu nae mzuri?Kuna mtu hapa alikuwa anajaribu kusema eti mademu wa kikenya weusi na si wazuri Natak mjue, Kenya mademu wao Tanzania haiwapati!! Noma kweli, cheki huyu askari hapa! Utakubali makosa yote!!
![]()
Mbona mapoda mengi na ma-photoshop kwa sana, hata mimi naweza kuku-photoshop wewe ukawa kama mtoto wa Donald Trump. [emoji23]Kuna mtu hapa alikuwa anajaribu kusema eti mademu wa kikenya weusi na si wazuri Natak mjue, Kenya mademu wao Tanzania haiwapati!! Noma kweli, cheki huyu askari hapa! Utakubali makosa yote!!
![]()
Hiyo picha haina photoshop! The same girl cop is hereMbona mapoda mengi na ma-photoshop kwa sana, hata mimi naweza kuku-photoshop wewe ukawa kama mtoto wa Donald Trump. [emoji23]