Tanzanian Miss World contestant blames the Kenyan beauty champ for her loss in Miss World

Kawaida sana Bongo

Mwambieni ahamie siasa

Huko visababu kama hivyo vina mashiko!!
 
Lundenga lundenga uta staaf lini tumechoka
 
Lundenga hawezi chochote mpuuzi tuu kwani why walimrudishia leseni ya kuendelea kuandaa mashindano haya???anaboa sana
 
Nilikuwa nikichekicheki Diana Edward, Wajua hata mimi ni Edward, haiwi vigumu kumchumbia kwa huo urari wa majina. Ila ni moja tu, yaahi tuseme huyu binti pia yumo kwenye group ya wanaojichubua ngozi kama ilivyo Vera??
 
Huyu binti miss tz haikuwa inafanana nae angepaswa ashiriki miss utamaduni
 
Kuna mtu hapa alikuwa anajaribu kusema eti mademu wa kikenya weusi na si wazuri Natak mjue, Kenya mademu wao Tanzania haiwapati!! Noma kweli, cheki huyu askari hapa! Utakubali makosa yote!!
 
Kuna mtu hapa alikuwa anajaribu kusema eti mademu wa kikenya weusi na si wazuri Natak mjue, Kenya mademu wao Tanzania haiwapati!! Noma kweli, cheki huyu askari hapa! Utakubali makosa yote!!
Kweli ushamba haujakutoka hivi uzuri wa huyo msichana uko wapi .hivo vi mashavu au hizo twende kilioni zimekuchanganya .Alaaaah!!!!
 
Kuna mtu hapa alikuwa anajaribu kusema eti mademu wa kikenya weusi na si wazuri Natak mjue, Kenya mademu wao Tanzania haiwapati!! Noma kweli, cheki huyu askari hapa! Utakubali makosa yote!!
Wanjala be serious bana, huyu nae mzuri?
 
Kuna mtu hapa alikuwa anajaribu kusema eti mademu wa kikenya weusi na si wazuri Natak mjue, Kenya mademu wao Tanzania haiwapati!! Noma kweli, cheki huyu askari hapa! Utakubali makosa yote!!
Mbona mapoda mengi na ma-photoshop kwa sana, hata mimi naweza kuku-photoshop wewe ukawa kama mtoto wa Donald Trump. [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…