Tanzanian MPs Msigwa na Lema KTN Kenya kuhusu Lissu n.k

Well a don't see anything wrong with the English.. Compare that to how Nigerians, Indians, Russians, Germans, Bangladeshi, Chinese, North Koreans and black Americans communicate in English, utaona tz wako atleast good
 
That wouldn't have been better neither! Nonetheless, let us concentrate much on the tabled concept and not grammatical errors (if they don't distort it)!
 
It isn't about English, political leaders at national level shouldn't be that poor in international communication. That is their best shot, huh!
 
1. Bina ya Afya ya wabunge ni tofauti na unazojua;
2.Hakuitisha press ili waandishi hao wa habari wapeleke taarifa hiyo polisi. Aidha taarifa za Nape na Bashe kutokufanyiwa kazi (kama unavyoamini) hakuwafanyi wengine kutokutoa taarifa polisi juu ya hofu ya usalama wao;
3. Saanane kutopatikana au Mawazo kuuwawa mchana kweupe hakudhihirishi uwezo mdogo wa polisi wa Tanzania. Kuna watu maarufu (achilia mbali hao uliowataja au Lissu) ambao waliuwawa, tena kwenye nchi zenye intelenjesia iliyobobea lakini hadi leo (karibu nusu karne) wauaji hawajapatikana wala kujulikana;
4. Ni makosa makubwa kulinganisha utawala wa Tanzania na utawala wa hao akina Kagame na Mseveni. Ninachojua, wananchi wa Rwanda wana imani kubwa na Kagame na ndio maana wakapiga kura nyingi, kwanza kubadili katiba lakini pili, wakati wa uchaguzi. Hali kadhalika Museveni. Demokrasia sio lazima iwe na muundo wa kimagharibi au Kimarekani. Kwanza hawakututawala kwa kutumia demokrasia yao. Iweje leo tuiige au kuikumbatia (copy and paste)?
5. Rudia kusikiliza clip hiyo ya mahojiano yao. Utajua moja ya sababu za kumuunga mkono Uhuru Mwithake Jomo Kenyatta!
Wasalaam!
 
acha uvivu uzi ulishaletwa hadi humu jf search kongamano la kisera ACT uone full speech text ya huyo ababu Namwamba alafu uje uropoke hapa mambo usioyajua
Umewahi kuona wapi mkenya kwenye media za TZ,au majukwaa ya TZ,akiiponda nchi yake? Only nyumbu wa TZ.
 
let us concentrate much on the tabled concept and not grammatical errors (if they don't distort it)!
i have been saying this thing over and over that english is not a tool that can be used to test someone's intelligence or proficiency in a particular field.it's just a language like other languages.

the problem with us(tanzanians), take english as something of big deal.that's why when it's spoken by our colleagues,we shift our concentration into spotting mistakes.very little attention is paid to fathom the message they try to deliver.
 
Nope, we can do better. Lema is just like any other form four leaver you pick on the streets.
If he is a form four leaver, then he is better than his colleague! There are very few who can manage foreign press interview in the manner he did! How about Msigwa's academic status?
By the way, do these political parties filter cohesively their candidates in line with academic career? And do voters do the same?
 

M
That's because you understood him, will Trump understand him talking like that? Will he understand Trump? That's how we sign 0% contracts!
I give him one thing though, he had no fear and was very confident.
 
Hiyo TV hawajui hata Tanzania ilipata uhuru lini? kwa kifupi Tanzania haijawahi kupata uhuru, iliyopata uhuru ni Tanganyika na Zanzibar.

wameandika hapo tanzania got indepence in 1962, hayo ni makosa, Tanganyika ilipata uhuru 1961, ikawa jamhuri 1962 na nyerere kuwa Rais wa kwanza wa Tanganyika.

Tanzania ilikuja baada ya muungano in 1964. waache kupotosha historia.
 
Hivi unaongea unachokijua kweli????
Sasa, watasemea wapi?
Wakisema ukweli mnawafunga kwa kuwa dola yako.
Wakisemea nje mnaropoka!!!

Wewe unaiona Demokrasia Tz ipo?
Au kwa kuwa tu uko Chama tawala mkuu???
 
Namba 3,4 na 5 tafuta wa kuwaongopea.[emoji35] [emoji35]
 
CHADEMA onyesheni kweli nyinyi ni chama cha maendeleo. Jengeni shule, vyuo vikuu, limeni shamba Ruvu mpaka Moro, dhaminini timu ya mpira, fungueni kampuni ya usafiri, leteni wadhamini wa miradi ya umeme wa jua. Do something positive kwa maendeleo ya nchi yote. Wacheni kukosoa na ku "make noises"

Nilicheka sana walivyotumia huo msemo wa "make noises" sikuwaelewa wametumia lugha ya mfano au wamefanya tafsiri ya jumla jumla. Kupiga makelele ni kiswahili make noises ni kingereza.

Inaitwa think out of the box.
 
Namba 3,4 na 5 tafuta wa kuwaongopea.[emoji35] [emoji35]
Anayejitambua na anaishi hapa Tanzania amenielewa. Ila wenye kufukuzana na vivuli vyao au bendera kufuata upepo ni nje ya uwezo wao kujitambua.
 

..ktk shauri la Godbless Lema CDM walifuata taratibu zote hizo ulizozieleza,lakini mahakama zilikuwa hazitoi haki. By the time wamevuka vikwazo vyote na kufika mahakama ya rufani Godbless Lema alikuwa ameshakaa gerezani miezi 5. Jaji wa Mahakama ya Rufani aliyemtendea haki Mh.Lema aliwalaani mawakili wa serikali kwa kuichafua mahakama kwa mapingamizi waliyokuwa wakiweka ili Mh.Lema asipewe dhamana.

..Kinachokwamisha CDM kupata haki siyo kuwa na wanasheria wabovu, bali baadhi ya mahakimu kuwa compromised na kutumiwa na serikali kukandamiza wapinzani. At least mahakama kuu na mahakama ya rufaa wapo Majaji wenye ujasiri wa kutenda haki, lakini by the time CDM wamekata rufani na kufika ngazi hizo za juu tayari wanachama wao wameshaumizwa, wamesumbuliwa, wamepotezewa muda, na wamepoteza fedha na rasilimali zao.

..Mpaka hivi tunavyozungumza TL ana kesi zaidi ya tano. Kesi ambazo naweza kusema zinatokana na mashinikizo ya kisiasa. Kesi hizo atakwenda kukabiliana nazo MUNGU akimponya. Vilevile wanachama wa CDM zaidi ya 300 wana kesi ktk maeneo mbalimbali ya Tz. TL alikuwa tegemeo lao kwasababu yeye ndiye mwanasheria mkuu wa chama.

..Suala la kwenda Nairobi inabidi ulielewe kwa mapana yake. Nadhani unapaswa kuzingatia hali ya wasiwasi juu ya usalama wa TL waliyokuwa nayo FAMILIA pamoja na uongozi wa CDM ikiwa mgonjwa angekuwa-refered kwenda Muhimbili. Kama wahusika walimpiga risasi mchana kweupe katika compound ambayo Naibu Spika na mawaziri wanaishi nini kingewazuia kumvamia huko Muhimbili? Hivi unafikiri hakuna uwezekano wa wauaji kuvaa kama madaktari na kumvamia tena TL wakiwa na bunduki za silencers and finish him off?

..Kwa hiyo suala la TL kupelekwa Nairobi lilitokana na security concerns more than anything else. Na pia unaposema serikali imetoa offer ya kumhudumia inabidi ujiulize offer hiyo ni ktk mazingira yapi?

..Kwa maoni yangu serikali[waziri wa afya, na katibu mkuu] na Spika Ndugai walikosea kulazimisha TL afuate taratibu wanazofuata wabunge wanapokuwa na matatizo ya kiafya. TL hakuwa na tatizo la kiafya bali alikuwa na DHARURA YA KIAFYA. Wahusika hao walitakiwa wafanye maamuzi ya haraka ya kuokoa maisha ya TL huku wakizingatia kuihakikishia familia yake usalama wa mpendwa wao.

..Zaidi mpaka sasa hivi sielewi kwanini serikali imekaa kimya kuanzia kutoa salamu za pole, na hata kuhakikisha kwamba TL anahamishiwa hospitali nyingine yenye specialized treatment kwa majeruhi wa silaha za kivita kama TL. Mimi naamini serikali inao uwezo wa kifedha, kinachokosekana ni nia ya kumsaidia TL. Kwanini serikali imeamua kuwasusia mgonjwa familia na CDM?

..Kama serikali ingetekeleza wajibu wake wa kumlinda TL tusingefika hapa tulipo. TL asingeshambuliwa na silaha za kivita mchana kweupe. Lakini zaidi, kama serikali ingeamua kumsadia matibabu TL basi hawa wana-CDM unaosema wanatumia tukio hili kama fursa wasingekuwa wanalaumu, au wasingepata "fursa."

NB:

..Kuna madai kwamba ndege iliyokuwa impeleke TL hospitali ya Muhimbili haikuwa ndege inayofaa na ingetumia muda mrefu kusafiri kuliko ndege iliyokodishwa na CDM kumpeleka TL Nairobi.




Huyo hapo juu ni Mh.Peter Lijualikali mbunge wa CDM Kilombero. Hapo alikuwa anaburutwa kupelekwa gerezani kutumikia kifungo cha miezi 6. Chama kilimkatia rufaa na kuweza kushinda lakini alishatumikia miezi kadhaa gerezani na kazi ngumu. Wakili aliyesimamia rufani hiyo ni Tundu Antipas Mughwai Lissu.

cc MK254
 
msigwa ana kiingereza kibovu sana kashindwa hadi kuitaja time ya uchaguzi ya Kenya kwa kiingereza
 
namnukuu msigwa" democracy is shrinking in our country" maskinj sijui hapa alitaka kumaanisha nn, ha ha ha ha ha ha ha ha
 
msigwa anasema " we are trying to push, to press on to make noises in all angles" ha ha ha ha ha ha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…