Tanzanian musicians who are the most private

Kama umezunguuka vile ..........hebu lete lengo lako. Lakini kumbuka kama alivyosema screpa bila pesa hakuna privancy,na hata hao unaowaona "hawana siri" pengine ni vile wana pesa,bila yakuwa na pesa usingewajua.
Agness masogange Ana pesa gani na gig money naona unamtetea mpenda kiki mwenzako
 
Agness masogange Ana pesa gani na gig money naona unamtetea mpenda kiki mwenzako
Huyu mbona hajishaui yeye anasema live amfiche nani .....maisha yenyewe mafupi watasema kisha watalala.
 
Mbona huleti ile video ya domo anamshika zari matakkko
Mutajijua wenyewe watazamaji yeye anaishi maisha yake.Tatizo hao munaosema wana private kumbe hawana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…