Tanzanian president Magufuli cancelled railway project due to massive corruption

Kama EL alivyo ulizwa na BBC....
"Lakini Mh si ulikuwemo kwenye hiyohiyo serikali ya Ccm tens kwa cheo cha Waziri mkuu..?? Ulishindwaje kuyatekeleza haya..."
[emoji2]
 
Mmemaanisha Magyufuli amemperesheni tezi dume chikwete???
 
Kama EL alivyo ulizwa na BBC....
"Lakini Mh si ulikuwemo kwenye hiyohiyo serikali ya Ccm tens kwa cheo cha Waziri mkuu..?? Ulishindwaje kuyatekeleza haya..."
[emoji2]
IQ yake ni ndogo sana huyu mshikaji. Ni mvivu wa kufikiri ndo maana anamlaumu JPM kuwa angezuia
 
Wahusika wakuu wa mkataba tata wa SGR ni nani? Watajeni.
 
Hao wa "previous government" waliotaka kujihusisha na ufisadi kwenye mradi huo ni akina nani!? Waanikwe hadharani.

 
Natarajia kesi ktk ile mahakama ya mafisadi
 
yaani kila cku ni stori tu na matangazo tu.....cjui watamaliza lin hawa watu
 
IQ yake ni ndogo sana huyu mshikaji. Ni mvivu wa kufikiri ndo maana anamlaumu JPM kuwa angezuia
Ndio maana nakubaliana na kauli ya Mwakyembe...
"Social Media yeyote anatoa mawazo take hats ambae hajasoma na Walangada wanachangia tu...
 
Ur IQ seems to be too low
It's yours IQ seems be so low. Thinking yourself. Nani serikali iliyopita? Nani alukuwa waziri wa ujenzi?hii hata ikipelekwa mahakamani itakuwa kesi rahisi sana.Au unasema kwamba my IQ seems too low kwa sababu wewe unafikiria muhusika na ufisadi hawezi kujifunga yeye mwenyewe????
 
Money train- SGR express.
Dramatis personae
1.
2.
3.
4.
Kamata mwizi!
 

softsassygirl mbululu mbulula
 
Mchina yuko hapa kwa maslahi yake tu,, nashangaa huyo huyo alisimama na kuwasifia kuwa wana mahera mengi tu, wachina Ndio wafadhili wakuu wa Chama chetu pendwa cha kijani
 
Kama EL alivyo ulizwa na BBC....
"Lakini Mh si ulikuwemo kwenye hiyohiyo serikali ya Ccm tens kwa cheo cha Waziri mkuu..?? Ulishindwaje kuyatekeleza haya..."
[emoji2]
Kule aliko kuwepo lowassa sasa,hakutumiki sera za ccm. Kunatumika sera za chadema.nikupe mfano mdogo.mchezaji wa mpira anaweza kuchezea simba asifanye vizuri kutokana na aina yake ya uchezaji.mchezaji huyohuyo akafanya vizuri sana kutokana na uchezaji wake kufanana na uchezaji wa wachezaji wa yanga. .Hivyo basi Lowassa atatumia sera za chadema sio za sera mbovu za ccm.ndomaana miaka 55 ya uhuru bado Tanzania ni nchi masikini sana kutokana na sera za ufisadi za ccm.
 
CHADEMA mna sera gani nzuri. Au za kuzungusha mikono ili mpate mabadiriko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…