Na wale wanaorukia Mbuzi jee? Hawa nao wana excuse gani?
These people are just sick! There is not any other explanation.
Kuna lecturer mmoja wa UDSM na yeyey yalimkuta masahibu kama haya alipokuja kusoma PhD yake. Mwanaume kiwembe hakuna mfano na mpaka leo hii hajaacha. Alimbaka binti hapa marekani maana binti alisema NO akafikiria ndiyo yale ya 'niangusage zambi zako mwenyewe'.
Uzuri kulikuwa na strong mshikamano wa wanafunzi wa Kiafrika, wakafanya namna bwana mkubwa akaweza kutoroka mkono wa sheria na sasa yuko DSM kwa raha zake.
Ila ndio hivyo hawezi thubutu kuja USA hata kwa kulazimishwa!
Kisura ukiwaambia ni "sick" unawapa excuse.. mgonjwa halaumiwi! These people are pure criminals... maana kama ni ugonjwa basi wengi wanaweza kujikuta wanaugua..
michango jamani vipi ?? haichangishwi ??
Hapana Kada, huyu akae huku huko ndani. Miezi 27 ni muda mzuri amepewa na wa kutosha kutafakari his purpose in life.
Kuna lecturer mmoja wa UDSM na yeyey yalimkuta masahibu kama haya alipokuja kusoma PhD yake. Mwanaume kiwembe hakuna mfano na mpaka leo hii hajaacha. Alimbaka binti hapa marekani maana binti alisema NO akafikiria ndiyo yale ya 'niangusage zambi zako mwenyewe'.
Uzuri kulikuwa na strong mshikamano wa wanafunzi wa Kiafrika, wakafanya namna bwana mkubwa akaweza kutoroka mkono wa sheria na sasa yuko DSM kwa raha zake.
Ila ndio hivyo hawezi thubutu kuja USA hata kwa kulazimishwa!
Hutaki sasa? haya mambo ya kina tyson na kina Kobe wengine uzee ushaingia.. siyawezi.. bora nijifungua ni kanzu yangu na kujichapa mijeredi usiku!
Haha MKJJ....story za Lydia ilikwua uzushi?
Mtu akipewa tabasamu na peck kwenye cheek anaona mambo yameshatiki lol....
My God! Hapa kuna mtu nae huwa anamtania huyu binti hapa ndani the same words lakini sijaweza kujua ni nini! Siku zote nafikiri ni salamu ya aina fulani! Thx Bimkubwa. Japo kucheka nimecheka sana lakini nafikiri itabidi nami nitoe katazo za utani huu nisije nikaachiwa kichanga humu ndani!
Yaani hawa ma-HG tunaotoa Iringa tena kutoka kwenye mashamba ya Nyanya, wana mambo kupita kiasi...
Kumbuka kwetu hakuna sexual education and sexuality huzungumziwa juujuu.
Originally Posted by YournameisMINE
...kuna mshkaji wangu mmoja mTZ kafungwa toka 2002..anachezea miaka 20 huko daytona, FL kwa kesi kama hii! halafu miezi michache baadae mtoto mmoja wa waziri wa zamani akadungua kabinti ka kitasha ka miaka 13, akawa na kesi..lakini kabla hajakamatwa akala zake "mwewe" kurudi Bongo!
...haya mambo magumu sana, yanataka moyo wa kijasiri, maana sometimes unapewa mpaka kula chumvi kama unataka...halafu ooooh NO, BIG FAT NO, hapo ndio baadhi ya ndugu ua wanajisahau na kuharibu mandhari. Huyo mtoto wa waziri ni nani?
It is not fair.
However, you may get away with rape kama ushahidi wako umekaa vizuri.
Janejo,
Hii habari ya 'niangusage' nilikuwa namsikia shemeji yangu (RIP) akiwatania housegirls (HG) wangu waliokuwa wanatoka mkoa wa Iringa.
I never understood alikuwa na maana gani maana na yeye huyo shemeji yangu alikuwa 'chupi chini'.
Nikamwomba mtu akaniambia kina dada wa Iringa hupati shida ya kuomba vyombo. Mwanaume akitema cheche zake basi jibu mara nyini ni wewe niangusage (yaani wewe niangushe tu). Yaani ujifanye umenibaka design ule vyombo.
Na neno la zambi zako mwenyewe ndio utetezi wao kuwa hata mkifanya mapenzi yeye hana dhambi wewe ndio mwenye dhambi.
Yaani nilipoelewa maana yake nilimpiga stop shemeji yangu. Maana alikuwa akiwaambia hivyo wanabaki kucheka. sijui walikuwa wanaangusagana wenyewe. Ni siri ajuaye Mungu sasa